Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,474
- 2,648
Wasalaam, Leo viongozi wetu wa dini wametoa maono hatujui kama yametoka kwa mungu au kwa shetani kikubwa ni ushauri waliotupatia watanzania kwamba tuwapuuze vyama vya upinzani hasa vile 7 vilivyosusia uchaguzi wa Nov 24 na kwamba tukapige kura kwa wingi kuipigia CCM ili hali CCM wenyewe wameshashinda kwa kishindo 95% hawana mpinzani.
Vile vile viongozi wetu wamewashangaa wanaomnanga Rais wetu kwamba ni dicteta ili hali mh Rais wetu ni mwanademokrasia ndio maana tupo huru hadi Leo, wameongelea zaidi Uhuru wa kuabudu hivyo viongozi wetu wametuomba tumuunge mkono Rais wetu.
Hizi ni nasaha inawezeka vitabu vya dini vinaelekeza hivyo ya kwamba mamlaka yote duniani yàtoka kwa mungu, hivyo uwepo wa Rais wetu wa sasa inawezekana ni mpango wa mungu kwa maana Rais Magufuli amefanya makubwa ndani ya muda mfupi kabisa.
Tutafakari tukapige kura hiyo Nov 24.
Mungu ibariki Tanzanià.
Vile vile viongozi wetu wamewashangaa wanaomnanga Rais wetu kwamba ni dicteta ili hali mh Rais wetu ni mwanademokrasia ndio maana tupo huru hadi Leo, wameongelea zaidi Uhuru wa kuabudu hivyo viongozi wetu wametuomba tumuunge mkono Rais wetu.
Hizi ni nasaha inawezeka vitabu vya dini vinaelekeza hivyo ya kwamba mamlaka yote duniani yàtoka kwa mungu, hivyo uwepo wa Rais wetu wa sasa inawezekana ni mpango wa mungu kwa maana Rais Magufuli amefanya makubwa ndani ya muda mfupi kabisa.
Tutafakari tukapige kura hiyo Nov 24.
Mungu ibariki Tanzanià.