Unaweza kuizika CCM nyuma ya keyboard?
Huyu ni Kamanda wa nini? Hata mafunzo ya Mgambo hajapitia.kaza kamba kamanda tupo wote
Safi sana kamanda, tunapenda sauti hizi zipazwe zaidi na zaidi!
haya kamanda endelea kuzitafuna posho hizoNimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine tutawanyike tukajenge chama.
Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya kuwashughulikia, acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili uundaji wa misingi.
Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Unadhani sisi makamanda ni kama nyie mnaokusanyana kwenye koridor za hapo lumumba fc kupost uharo kwenye mitandao ya kijamii? tupo field na wananchi tena maskini kabisa vijijini tunawapa elimu ya uraia kila siku baada ya shughuri za uzalishaji mali.hatuishi wala kutegemea buk 7 kama nyie watumwa wakubwa!
Huyu ni Kamanda wa nini? Hata mafunzo ya Mgambo hajapitia.
Umevurugwa wewe! kwa akili zako za kigambagamba unadhani unaweza kumkatisha tamaa kamanda wa ukweli kama mawazo? kwanza usimlinganishe na huyo mamluki,mpenda sifa anayeshabikiwa na magamba.
Tanzania kuna chuo kinaitwa Mount Meru? Mbona sikioni kwenye orodha ya best 500 Univrsities in Africa? Kipo wapi? Maana ni kigeni Kwangu......Kwa taarifa yako tu ni kwamba:, huyu Alphonce Mawazo ana shahada(degree) ya ualimu kutoka pale Mount Meru university.Ualimu ni hot cake isiyoishiwa ajira Tanzania. Amegraduate akiwa bado kijana mbichi kabisa hivyo hana elimu ya kuungaunga na super glue kama ya bosi wako Mwigulu na Nape. Kuandika "kamnda" hiyo ni hoby yake boya wewe!
Kamanda Mawazo nipm nikutumie pesa ya mafuta.
Kamanda Mawazo nipm nikutumie pesa ya mafuta.
Kamanda Mawazo nipm nikutumie pesa ya mafuta.
Piga kazi kamanda wangu usiache kuvitembelea vijiji vya Mwamashele, Mwamanota, Mwigumbi, Mwamadulu, Lagana(ukifika hiki kijiji utapata sapport kubwa sana..
Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz