Raha ya ndoa NI NINI?

mie nitaolewa kwa ajili ya company tu,kama mikasi niliicheza sana nilivyokuwa kijana,sasa hivi chumvi yooote imeisha....si mnaukumbuka ule wimbo wa chumvi chumviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii chumvi tutalambaaaaaaaaaaaaaaaa wa muumini mwinjuma wa twanga pepeta...lol:thinking::embarrassed:
 
mito well said ma bro, na hapa meongelea kitu ambacho wengine wengi hatukukiona but nicha msingi sana. kumbe raha iko established jkatika uwezo wa kuvipata vyote ulivyo vikusudia before joining the institution. kinyume na hapo hakuna raha tena ya ndoa.
 
Last edited by a moderator:

umenena vizuri sana mdogo wangu YM, pamoja na package hii uliyoitoa ukaongezea na kubwa kuliko yote kuwa ni upendo, nakubaliana na wewe lakin hapa napo nina swali moja nataka nikuulize, hivi inapotokea mtu ukavikosa hivi ndani ya ndoa mathalani kisha ukabahatika kuvipata nje ya ndoa je hapa tusemeje? manake kuna watu imeona wako ndoani kwasababu ya kuogopa fedheha tu yaa kuachika lkn yale ya msingi ya ndani ya ndoa anayapata nje huwez ukaamini.

nasema hivyo kwani mpaka nimeleta huu uzi hapa nimewaza mengi sana, kuna mtu nilikwenda kwake ni matajiri sana lakin huwez kuamini chumbani kwao wanapolala na M&mrs ni kiboko. Yaani kitanda kikubwa sana kisha kati kimetengwa na mstari kwa kutumia shuka yaani kila mtu analala upande wake just tell utasemaje hapa?
 
mwanzoni ulikuwa unajuwa kuna raha si ndio??sasa kwa sisi ambao hatujaingia unatupa ushauri gani??
Papizo ushauri wangu kwa yeyote ambaye hajaolewa au kuoa, jamani ndoa ni fumbo la imani. Raha yake imekuwa established katika uwezekano wa kuvipata unavyovikusudia ndani ya ndoa yako kwa njia ya halali.Tetea ndoa yako kwa gharama ya hekima na busara yako na upendo wako ili kuweza kuleta raha ndani ya ndoa. kumbuka kwamba nje ya upendo wa kweli na wa dhati hakuna raha ya ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu gfsonwin, ushaijua raha ya ndoa? Kama hujaijua njoo Tanga barabara ya 12 nikufunde ufundike.

Habari ya asubuhi? Wakwe zangu hawajambo? Shkang mwalimu.
 
Last edited by a moderator:
Kutafunana tu si zaidi ya hapo.

hata mimi niliwaza kuwa hii ndio raha yenyewe manake mengine yote waweza yapata ukiwa sehem yeyote ile pasi tashwishwi but mchezo wa matusi wa huru uko na misingi katika ndoa na hapa ni huru.
 
Mkuu gfsonwin, ushaijua raha ya ndoa? Kama hujaijua njoo Tanga barabara ya 12 nikufunde ufundike.

Habari ya asubuhi? Wakwe zangu hawajambo? Shkang mwalimu.

habari ni njema kabisa mkuu Asprin, mmh.......! huko bara bara ya 12 napahofia kwanza nitamuagaje Kaizer wangu wakati siku hizi namlindia asha dii jimbo? pia Kongosho si unamjua alivyo mtata nahofia ataniletea matarumbeta na Zinduna wanisute na "mnanda" kama jana walivyo msuta Bishanga na ngoma ya kigwale.
 
Last edited by a moderator:

mpendwa,

kuna tofauti kubwa sana kati ya raha na furaha. raha huletwa na vitu tangible, visible nk. mfano; mambo ya anasa kama magari, mavazi, vito vya thamani, majumba ya kifahari nk, wakati furaha huletwa na vitu intangible na invisible mfano peace, love, companionship etc.

tendo la ndoa ni kikamilisho cha companionship, ni chanzo cha amani. familia ni bustani inayochipua upendo, amani, companionship etc

kwa hiyo kwa maoni yangu, ukiyafanya ipasavyo kwa mwenendo safi hayo uliyoandika hapo juu yatakupatia furaha. raha ya ndoa utaipata kama utaangalia mambo tangible kama pesa, magari, nyumba, vyakula, vipodozi, mavazi nk uyapatayo na unayoyafaidi ukiwa ndani ya ndoa, na ambayo usingepata fursa ya kuyafaidi kama unsingekuwa na ndoa.

natumaini umenipata vizuri mpendwa,

ubarikiwe sana

Glory to God!

Sasa mi nikusaidie kabla ya kukujibu,unataka kujua raha ya ndoa au unataka kujua furaha ya ndoa?Maana kuna tofauth hapo!

mpendwa,

ni kweli hakuweka vyema swali lake na ni kweli pia kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya raha na furaha, na nimeishaziainisha kwenye hii post

ubarikiwe sana mpendwa

Glory to God!
 

mpendwa dada yangu nyumba kubwa,

umeongea mambo ya msingi sana na nathibitisha kuwa yote ni ya kweli kabisa. asante sana kwa hekima hii uliyoshirikiana nasi

ubarikiwe sana

glory to God!
 
Last edited by a moderator:

Ulifurahi eh?
Halafu nimekusoma sana post zako zote kwenye hii thread,trend ya post zako inaonyesha umedata mahali na una plan kum cheat mzee,be careful mapenzi ni kikohozi.........
 
Last edited by a moderator:
Ulifurahi eh?
Halafu nimekusoma sana post zako zote kwenye hii thread,trend ya post zako inaonyesha umedata mahali na una plan kum cheat mzee,be careful mapenzi ni kikohozi.........
Bishanga msuto jana nimeupenda, leo hata ndizi haziliki kaz ipo. wakwangu anakidhi vigezo vyote mechi tu masaa 4-5, maisha bora naishi kubembelezwa usiseme watoto kanizalisha vidume vya nguvu, outing usiseme bado yeye ni handsomem sasa nidatishwe na nani tena? kwa vigezo hivi? kwangu sili nikipatacho bali ninachokitaka, sivai nikipatacho bali nikitakacho, sipambi nyumba kwa maua bali kwa tabasamu na vicheko nani mwingine wa kunifikisha hapo?
 
Last edited by a moderator:
Meritta bi dada kwa kutegemeana kivipi?
Ni kujenga familia, vingine vyote ni complimentary. gfsonwin mimi nakuaminia sana, yaani the way unavyoelezea kitu hadi inanipa raha, you appear to be knowledgable in understanding the world, in short among the great thinkers.
 
gfsonwin, afu ujue mie huwa ni bodigadi wa @AdhaDii, na kuja kumwambia yote ulomwibia.
Huyu Kaizer huyu ataipata, tutawasuta wee na mwizi wako kwa staili ya "matembele tembele'
Bishanga, njoo nikuume sikio
 
Last edited by a moderator:
 
gfsonwin, afu ujue mie huwa ni bodigadi wa @AdhaDii, na kuja kumwambia yote ulomwibia.
Huyu Kaizer huyu ataipata, tutawasuta wee na mwizi wako kwa staili ya "matembele tembele'
Bishanga, njoo nikuume sikio
Kongosho lol hata wewe nawe basi namuomba kibabu Asprin basi badala ya Kaizer? ila ujue kwangu akiingia hatoki tena manake kwangu mavibration niya kumwaga na malovi davi usiseme. muulize kaizer maji anaita mma mwenzio anapepetwa kama mchele kwenye ungo, ndani ya chumba na varanda.
 
Last edited by a moderator:
Huyo unayemuomba kishaibiwa na BADILI TABIA
Ila ukimvibreti sana huwa anaweweseka, atashindwa hata kula.

Kaizer kwa kweli mwachie AshaDii, karibu kwa Babu ODM kiboko wa wajukuu watukutu.

Afu na mie nitakufundisha teknik moja inaitwa 'Ching Chong' ila masharti yake unampa mara moja kwa miaka 2 au mitatu.
maana hii ndo huitumia kununuliwa vits au nyumba, ukiitumia mara kwa mara anafilisika unakuwa kama unakula mtaji wa baishara yako.
Ila sasa wanalia hao ukiwawekea hii??? Usisahau ear plug
 
Last edited by a moderator:
Ni kujenga familia, vingine vyote ni complimentary. gfsonwin mimi nakuaminia sana, yaani the way unavyoelezea kitu hadi inanipa raha, you appear to be knowledgable in understanding the world, in short among the great thinkers.

unejoune asante sana ila bana hizi sifa lol naziona kama ni nyingi mno kwangu. manake dah! ila nakushukuru sana kwa kunitazama in a positive way manake unanitia moyo kwamba nimefaulu katika nilifanyalo. ingawa nawependa zaid wale wanaonitizama in a negative way ambao hawa wananifanya niwe na akili katika kufanya mambo. Mungu akubariki sana ma dear.
 
Last edited by a moderator:

dah! aisee hii nifundishe nataka nihame kutoka kwenye kuendesha ka vits alikohonga Kaizer niendeshe xtrail sasa lolz!

kumbe Asprin hakuna kitu lol! nisije nikaua bure? sasa babu Darkcity atanimudukweli manake nataka launch naye hii "ching chong". najua ataachia ka xtrail. mwambie BADILI TABIA amfundishe Asprin ile staili ya mfyonzo. iyo nayo ni kiboko ya matatizo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…