Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,789
- 113,333
Hii kitu ilishantokeaga, kuna dada mmoja nlimpenda sana nkawa namuomba namba anakataa, nna pacha wangu hatufanani(fraternal twins) kuna siku alikuja kunitembelea akatuona pamoja, kilichofuata siku nliyokutana nae nilipomuomba namba aliniambia anataka namba ya yule kaka nliekua nae ametokea kumpenda sana bila ya yeye kujua n ndugu yangu/pacha, ilibid tu nimpe wakamalizana. Dah akaruka majivu akakanyaga moto haswa
Sent using Jamii Forums mobile app