Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
hahahahaa!Buji bwana utanifukuzisha mwenzio kazi kwa kucheka.<br />
Meneja wangu leo kapiga bonge la kimini, halafu ana zinga la mguu, kama bomba la antena
Buji bwana utanifukuzisha mwenzio kazi kwa kucheka.
Meneja wangu leo kapiga bonge la kimini, halafu ana zinga la mguu, kama bomba la antena
<br />hahahahaa!<br />
Kama papai limechomekwa kwenye vijiti vya mshikaki?
<br />Bila kujalisha ni kitambi cha utapiamlo au kile cha bia na nyama choma, raha ya kitambi uwe na vimiguu vyembamba, piga kimini na kitop kama wewe ni mdada, au piga pensi kama wewe ni mkaka, ili mguu uonekane vyema.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu hapo si utakuwa na shepu kama rungu?
<br />Halafu awe hana masaburi!!
Halafu awe hana masaburi!![/QUOTE]
uwiiii mbavu zangu! ni bora usiwe na masaburi maana ukiwa nayo utabinuka mbele na nyuma! halafu ukute na suruali au kaptura linajikunyata katikati ya miguu kwa wanaume, mh sipati picha! ila kitambi noma maana kuinama lazima upanue miguu kama twiga anapokunywa maji!!!