ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
teh teh teh! ngoja nikufahamu zaidi mtu wangu....
kwani mpaka hapa hujanifahamu tu! oky acha uendelee kunifahamu ila ndugu y;angu charminglady ananifahamu vizuri muulize yeye atakwambia
ngoja aje The secretary aimbe ile nyimbo ya yahaya!!
Huyu mtoto wa watu8 binamu yake charminglady kajaa upako huyu haitaji hata nyimbo sijui limemsibu nini kaja upya
mchukue mkuu!!
umeadimika sana jamaa yangu!
Huyu mtoto wa watu8 binamu yake charminglady kajaa upako huyu haitaji hata nyimbo sijui limemsibu nini kaja upya
Kuna siku nilimwambia kuhusu mwandiko wake kuwa naufananisha naona akauchuna kimyaaa....hahahah akasahau kuwa baba hawezi kumsahau mwanaye
Tayari hapo juu mods wameshamfanya mbayaaaa mtumishi wa Mungu kadanganya
Ana hesabu kali huyo mtu we acha tu...alikuwa hajui kumbe anacheza makida makida kwenye tope.
Btw habari ya wewe mpendwa?
sijaelewa somo hapa!!