Wana Jf nimeona nilete mjadala huu hapa Jamvini.
Leo asubuhi nikiwa na kunywa chai Hapa Tabaora ktk Hoteli ya MEYA,kuliibuka mjadala juu ya Dhamira ya bwana Ismail Aden Rage juu ya yeye kugombea Uenyekiti wa Club ya Simba,mjadala huu ulikuwa mkubwa na watu kujadili je Rage anadhamira ya kweli kutaka nafasi hiyo?
Wadau wa soka hapa wamekuwa kidoago na wasiwasi hasa baada ya wengi kuhusisha swala hili na Historia ya Rage ktk Soka na Siasa,Wanyamwezi hawa walikuwa wanajaribu kujenga hoja kuwa Rage anataka kutumia nafasi hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani wanadai kuwa 2000 alikuwa na Nguvu sana ktk Jimbo la Tabora,ana Rage alitumia Mali za FAT wakati huo kujijenga kisiasa,hapa inakumbukwa wanadai alitumia Fedha na Vifaa kujijengea uhalali wake ktk Siasa nadani jimbo la Tabora Mjini.
Wana dai kuwa huyu jamaa atatumia klabu ya simba kujinufaisha zaidi binafsi kwani wanadai kuwa TAREFA chama cha mpira atabora kina kashafa kuwa FEDHA walizopewa kwa ajili ya TAIFA CUP Rage alitia Ndani sasa wengi wanadai hapa kuwa Rage atapoteza mafanikio ya Club ya simba walopata kwa kipindi hiki akichukua nafasi basi atatumia kwa maslahi binafsi kwani sasa hata chama cha Mpira hapa Tabora wanadai kina Mgogoro ambao ni ubadhirifu,wengine walidai kuwa Uchumi wa Rage umeyumba sana kwahiyo atatumia Club ya Simba kujiwezashe zaidi kuliko kuiwezesha Club.
Walokuwa wanamuunga mkono wana dai Rage ni mwana Michezo na Anaipenda Simba hawezi kuihujumu.
Lakini maswali makubwa ni Je RIKODI YA RAGE AKIWA KIONGOZI WA CLUB INAONYESHA MAFANIKIO?JE RAGE CRIMINAL RECORD YAKE HAIWEZI KUIATHIRI CLUB YA SIMBA INTERMS OF REPUTATION/LOCALLY NA INTERNATIONALLY?JE RAGE ANAMPANGO WA KUJINUFAISHA ECONOMICALLY NA POLITICALLY KUPITIA CLUB YA SIMBA?
Nimeona nilete mjadala huu hapa tuujadili.
Leo asubuhi nikiwa na kunywa chai Hapa Tabaora ktk Hoteli ya MEYA,kuliibuka mjadala juu ya Dhamira ya bwana Ismail Aden Rage juu ya yeye kugombea Uenyekiti wa Club ya Simba,mjadala huu ulikuwa mkubwa na watu kujadili je Rage anadhamira ya kweli kutaka nafasi hiyo?
Wadau wa soka hapa wamekuwa kidoago na wasiwasi hasa baada ya wengi kuhusisha swala hili na Historia ya Rage ktk Soka na Siasa,Wanyamwezi hawa walikuwa wanajaribu kujenga hoja kuwa Rage anataka kutumia nafasi hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani wanadai kuwa 2000 alikuwa na Nguvu sana ktk Jimbo la Tabora,ana Rage alitumia Mali za FAT wakati huo kujijenga kisiasa,hapa inakumbukwa wanadai alitumia Fedha na Vifaa kujijengea uhalali wake ktk Siasa nadani jimbo la Tabora Mjini.
Wana dai kuwa huyu jamaa atatumia klabu ya simba kujinufaisha zaidi binafsi kwani wanadai kuwa TAREFA chama cha mpira atabora kina kashafa kuwa FEDHA walizopewa kwa ajili ya TAIFA CUP Rage alitia Ndani sasa wengi wanadai hapa kuwa Rage atapoteza mafanikio ya Club ya simba walopata kwa kipindi hiki akichukua nafasi basi atatumia kwa maslahi binafsi kwani sasa hata chama cha Mpira hapa Tabora wanadai kina Mgogoro ambao ni ubadhirifu,wengine walidai kuwa Uchumi wa Rage umeyumba sana kwahiyo atatumia Club ya Simba kujiwezashe zaidi kuliko kuiwezesha Club.
Walokuwa wanamuunga mkono wana dai Rage ni mwana Michezo na Anaipenda Simba hawezi kuihujumu.
Lakini maswali makubwa ni Je RIKODI YA RAGE AKIWA KIONGOZI WA CLUB INAONYESHA MAFANIKIO?JE RAGE CRIMINAL RECORD YAKE HAIWEZI KUIATHIRI CLUB YA SIMBA INTERMS OF REPUTATION/LOCALLY NA INTERNATIONALLY?JE RAGE ANAMPANGO WA KUJINUFAISHA ECONOMICALLY NA POLITICALLY KUPITIA CLUB YA SIMBA?
Nimeona nilete mjadala huu hapa tuujadili.