Transfer za Nonda kwenda timu zingine hizo hapo chini, mbona hatuoni transfer yoyote ya kutoka Yanga hamkuruhusu au alitoroka au mkataba uliisha, kwa nini yanga haijatajwa?Mambele gani unapozungumzia Mtani,hapo Lubumbashi? au kule Henry Joseph anapofanyia kibarua chake cha kutunza vifaa vya mazoezi(Kit Officer) kweye ile team ya daraja la 2 baada ya mpira wake kumalizika kabisaa,hlf Mtani unajifanya kujisahaulisha eti "wanitajie proffesional..............." Mtani inamaana unajifanya umemsahau kabisa Nonda Shaaban "Papii"? na juzi tu Ernest Boakye kaombewa ITC TFF na team 1 ya maana sana huko mbele....angalia Kijana unavyoanzisha mada uwe umejipanga
Transfer za Nonda kwenda timu zingine hizo hapo chini, mbona hatuoni transfer yoyote ya kutoka Yanga hamkuruhusu au alitoroka au mkataba uliisha, kwa nini yanga haijatajwa?
View attachment 67442
Hiyo nimeiona lakini inaonyesha ni Youth career, swali langu ni kwamba kwa nini transfer haijazungumziwa, tunachosema sisi sio kwamba hakuna wachezaji waliotoka yanga kwenda nje lakini wengi wanaenda ama kwa kutoroka ama mkataba umeisha lakini hawaruhusiwi na club hiyo tabia ya kubaniana ndo tunayoikataa sisi, Nonda na Bakari Malima wote walienda Africa kusini lakini club ya Yanga haikuwaruhusu kwenda hata kipindi kile Malima amerudi kufuatilia makaratasi ili akacheze Africa kusini pamoja na kuwa na kesi ya madawa ya kulevya Yanga walichofanya ni kumwekea dhamana na kumrudisha kwenye timu lakini sio kwenda south tena, msingeweza kufaidika na Nonda kwa sababu hamkuruhusu kwenda south bado alitoroka, hiyo source ya wikipidia ni kweli inaonyesha lakini hiyo kila mtu anaweza kupost ila ukitafuta alizohojiwa mwenyewe hakuna sehemu hata moja atataja yanga labda awe anahojiwa na Mtanzania.Mkuu embu soma na hapa Shabani Nonda - Wikipedia, the free encyclopedia uone Jembe lilianzia wapi Carreer yake....unajua Mkuu ni vizuri kama unaning'ininza vielelezo ukaning'iniza vyote usifanye nusunusu Mkuu,kumbuka miaka ile ya 90's mfumo wa Club za zamani kunufaika na development za wacheaji wao ulikuwa siyo sana na ndo maana Yanga ikaishia kubaki kwenye record za Mshikaji tu bila kunufaika chochote
afadhali yako wewe hutokufa kwa bangi utakufa ukihemewa..
Dr Vipi tena? usikubali akuprovoke, kuna siku anaweza kuwa mgonjwa wako ukashindwa kumtibu.Crashwise nakuheshimu...ukitaka tuvunjiane heshima tukaambulia ban am on for it mpumbavu mkubwa wewe!
Dr Vipi tena? usikubali akuprovoke, kuna siku anaweza kuwa mgonjwa wako ukashindwa kumtibu.
na refa taahira anaangalia tu ila simba noma.View attachment 67132
Angalia kwa makini namna Haruna Moshi alivoufuata mguu wa Yondani na alivokunja sura, angalia position ya mpira hutosita kusema jamaa alikusudia kumuumiza mwenzie!
Duuuuh! hii imetulia....huyo shaffi hata mpira wenyewe haujui kaanza kuujuwa kwenye tv juzi na jana ligi ya england maestro hata danadana mbili hawezi kupiga lkn ndie mkurugenzi wa ufundi pale simba watu wanachezea profeshno za watu eti mkurugenzi wa kamati ya ufundi SSC Na huyu shaffi eti mchambuzi mahiri jamani hili soka sijui linaelekea wapi huyu shaffi mi namjua sana hana lolte analolijuwa tena ni yanga damu tokea anakaa majalubani msasani haujui mpira ni ujanjaujanja tu na visenti anavyopata kwa kina binsum na marupurupu ya bonza za fiesta kana una bisha muulize shaffi lini mara yake ya kwanza kwenda taifa kama sio mwaka jana hata mpirani heandi huyo ibra nae alimtengenezea zengwe mwenzake philps cyprian mpaka akafukuzwa kazi pale clouds ili yeye ajitawale kumbe elimu hana kaishia la 6 halafu rage kamteua mkurugenziwa kamati ya ufundi kwa welendi wake uliotukuka
Sasa hivi wnasema mchawi ni Minziro@Baba Isaya huenda nae wakamfukuzaNa mtafukuza sana makocha huu mwaka. Mpira si wachezaji na majungu tu,nendeni MKAJIPANGE....
Sijui ule utaratibu wao wa kuwapima "Mabangi" kama huyu Haruna "Moshi wa bangi" watauanzisha lini,pengine wakishauanzisha utawanusuru vijana wadogo wenye vipaji asilia na dhahma kama hizi,nimemchukia sana huyu Mbwa.
Mkuu embu soma na hapa Shabani Nonda - Wikipedia, the free encyclopedia uone Jembe lilianzia wapi Carreer yake....unajua Mkuu ni vizuri kama unaning'ininza vielelezo ukaning'iniza vyote usifanye nusunusu Mkuu,kumbuka miaka ile ya 90's mfumo wa Club za zamani kunufaika na development za wacheaji wao ulikuwa siyo sana na ndo maana Yanga ikaishia kubaki kwenye record za Mshikaji tu bila kunufaika chochote
Sijui ule utaratibu wao wa kuwapima "Mabangi" kama huyu Haruna "Moshi wa bangi" watauanzisha lini,pengine wakishauanzisha utawanusuru vijana wadogo wenye vipaji asilia na dhahma kama hizi,nimemchukia sana huyu Mbwa.