Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
hapa kuna ukweli yaani 5yrs bado wanapimana. Inawezekana jamaa hana mpango nwowote wa kufunga ndoa na bibie. Kaenda ukweni mara 1 kwa kulazimishwaa mmmh! Hapo bwana bora watengane tu ili wapeane muda wa kufikiri hatma ya maisha yao.Mwambie huyo Jamaa asisubiri Mpaka ashinikizwe kufanya kitu.
Mshauri atangaze ndoa kwa huyo Mwanamke, huenda Mwanamke haioni future na Jamaa baada ya kuwekwa kinyumba miaka mitano bila dalili za ndoa, tena mpaka amshinikize ndiyo Jamaa anaenda Ukweni.