michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,212
- 3,656
Mkuki kwa nguruwe, nyie mkiliwa na Kapuya tuwasifu tu.... mtulie hivyo hivyo.
Kwani unakula umri au unatoamo yako tu then unapita hvi ila kuwa makin kuna ukimwiHahaha
Wakuu nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bimkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani??? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah...maza wa 77 una date nae kiaje hata feelings zitakuja kweli??? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona husemi laana vibinti vinalala na babu zao
Eeh...mkuu we una miaka mingapi?Kuna jimama moja 39 years limeniganda balaa, sema hata halina pesa ila linanifanya nijione kupendwa sana hadi kero.... ni litamu halina stress na linajua ku-care so vibinti visumbufu naona takataka tu.
Ok hongera ila ni vitu vya kawaida nowadays punguza jazba
77 mbona juzi tu, au mie ndo nishakuwa mkongwe? Kigori kabisa huyo!Hahaha
Wakuu nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bimkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani??? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah...maza wa 77 una date nae kiaje hata feelings zitakuja kweli??? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahah...JF kweli siku hizi kumejaa vitoto.
Huenda we wa 6077 mbona juzi tu, au mie ndo nishakuwa mkongwe? Kigori kabisa huyo!
Sina jazba mkuu, yaani watu wawili wapendane mimi niwe na jazba? Ya nini?Ok hongera ila ni vitu vya kawaida nowadays punguza jazba
ok huna jazba ila vyenye uliandika ni kama mtu ambaye hajapendezwa na hili jamboSina jazba mkuu, yaani watu wawili wapendane mimi niwe na jazba? Ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
ok huna jazba ila vyenye uliandika ni kama mtu ambaye hajapendezwa na hili jambo
Wakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app
Moderator wamebadilisha heading mi niliandika miaka 43 na nikasema maza wa mwaka 77. ..Acha ujinga basi maza miaka 77 au 43???