Rafiki yangu kapendwa na bibi wa miaka 77, nimshauri vipi?

Mwambie apige papuchi kwa ufundi mzur au kama una namba yake hyo bibi mm huwa nawatfta sana hao tuma namba nimshaur
Wakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.

Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.

Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.

Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.

Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.

Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.

Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)

Sent using Jamii Forums mobile app
Age is just a number
 
Back
Top Bottom