michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,212
- 3,655
Bibie kanizidi miaka 10 taslimu.
Nitamuita mama yake bibi Pisi kaliWa 77 unamuita bibije wa 53 huko’
Faizaf utamuitaje
Wakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app
Age is just a numberWakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app