livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 952
Wakuu, nipo na jamaa hapa ananionesha chatting zake na maza wa miaka 43 anampenda jamaa kinyama na yupo tayari kumsapoti kimaisha jamaa.
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni 20's-30. Na anajishauri akubali au aibu kwa watu.
Bi mkubwa anamwambia yupo tayari kumzalia mtoto 1 tu na atampa sapoti kupata kazi ya kudumu.
Jamaa afanyeje unadhani? (Mi nacheka tu nimeshindwa cha kumwambia) maana daaah, maza wa 77 una-date naye kiaje, hata feelings zitakuja kweli? (Hapo we ni mid 20's)
Sent using Jamii Forums mobile app