Rafiki yangu kanigongea girlfriend wangu baada ya kuiba namba yake ya simu kwenye simu yangu

Mkuu unakosea.... Biblia inasema ukiingia kwa upanga utatoka kwa upanga
Dawa ya hao watu Ni kuwatoa kwa upanga Yan kila mmoja mgongee mtu wake wa karibu zen huyo Dem usimuache endelea kumchezea tu halaf mpe ahad za kumuoa na tengeneza mazingira ya kwel ya kumuoa zen unapiga u turn ya ajabu ili umtie adabu asirudie upuuzi kwa mwanaume mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…