Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,440
Wakuu habari za Majukumu
Ninaye Rafiki yangu wa muda mrefu ambaye tumekua tukipeana michongo mbalimbali ya kufanya.
Yeye ni Mkenya ila kwa Sasa anaishi na kufanya shughuri Zake Burundi! Anajiweza kwa kipato na Ujuzi wake umemfanya aendelee kuwepo Burundi
Ni miaka Sasa amekua akinisumbua huu ya lengo lake la kuoa Binti Shombeshombe wa Kiarabu, Binafsi nilikua namwambia Ile JAMII wanapenda kuoana wenyewe Kwa wenyewe! But yeye anaona kwa Dunia ya leo Inawezekana.
Sasa anasema yupo Tayari kwa Ndoa, ananiomba sana nimtafutie mchumba hata huko Zanzibar!
Hivi wapo Black African ambao wwmeoa MWARABU au Shombeshombe?
Ninaye Rafiki yangu wa muda mrefu ambaye tumekua tukipeana michongo mbalimbali ya kufanya.
Yeye ni Mkenya ila kwa Sasa anaishi na kufanya shughuri Zake Burundi! Anajiweza kwa kipato na Ujuzi wake umemfanya aendelee kuwepo Burundi
Ni miaka Sasa amekua akinisumbua huu ya lengo lake la kuoa Binti Shombeshombe wa Kiarabu, Binafsi nilikua namwambia Ile JAMII wanapenda kuoana wenyewe Kwa wenyewe! But yeye anaona kwa Dunia ya leo Inawezekana.
Sasa anasema yupo Tayari kwa Ndoa, ananiomba sana nimtafutie mchumba hata huko Zanzibar!
Hivi wapo Black African ambao wwmeoa MWARABU au Shombeshombe?