Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,043
- 32,749
Being broke sio rahisi mnavyodhani unaweza kuachwa ukiwa na pesa ukanunua hata kahaba,ila kwa hapo jamaa hana ujanja kaachwa huku yuko broke financially lazima aone dunia chungu.
USHAURINina rafiki yangu mambo yamemuendea vibaya, kwanza amegombana na mke wake na kaondoka. Pili, ana madeni ya milion 8 ya ndugu yake walikua wanafanya nae kazi.
Mke wake baada ya kuondoka siku hizi status zake anazoweka anamaanisha hana mpango wa kurudi, mara apost anajaribisba shela mara ampost mwanaume!! duh majanga matupu.
Sasa jamaa kila nikiongea nae mara kibao anaongea sana mambo ya kujiua mpaka nachoka kuongea naye.
Kuhusu kudaiwa anaemdai ni ndugu yake kwahyo hawezi kumchukulia hatua kali labda atamsema sema tu.
Jamaa kakonda ndani ya wiki 1 tu, ninavyohisi mimi kuachana na mkewe ndo kunamuumiza sana ila hataki kuniambia ukweli yeye anajifanya mambo ya kudaiwa ndo yanamsumbua kichwa. Huyu jamaa ni zaidi ya rafiki tumetoka mbali.
Nimshauri vp ili akae sawa? Maana nimetumia njia nyingi jamaa anazidi kupoteana tu hata haelewi.
Mnunulie KvantNina rafiki yangu mambo yamemuendea vibaya, kwanza amegombana na mke wake na kaondoka. Pili, ana madeni ya milion 8 ya ndugu yake walikua wanafanya nae kazi.
Mke wake baada ya kuondoka siku hizi status zake anazoweka anamaanisha hana mpango wa kurudi, mara apost anajaribisba shela mara ampost mwanaume!! duh majanga matupu.
Sasa jamaa kila nikiongea nae mara kibao anaongea sana mambo ya kujiua mpaka nachoka kuongea naye.
Kuhusu kudaiwa anaemdai ni ndugu yake kwahyo hawezi kumchukulia hatua kali labda atamsema sema tu.
Jamaa kakonda ndani ya wiki 1 tu, ninavyohisi mimi kuachana na mkewe ndo kunamuumiza sana ila hataki kuniambia ukweli yeye anajifanya mambo ya kudaiwa ndo yanamsumbua kichwa. Huyu jamaa ni zaidi ya rafiki tumetoka mbali.
Nimshauri vp ili akae sawa? Maana nimetumia njia nyingi jamaa anazidi kupoteana tu hata haelewi.
Afate huu ushauri. Amblock huyo mke, halafu akumbuke deni la taifa, akapambane.Cha kwanza amblock huyo mke...Cha pili mwambie hata serikali Ina madeni ye Ni Nani asiwe nayo?mwambie mwamba a chill Mambo yatakuwa sawa
Muombee sana asijiue maaana hapo kitakachommaliza sio madeni ni mapenzi.. Siku mke akiamua tu kurudi kila kitu kitakuwa kipya na hilo deni ataliona si kituNina rafiki yangu mambo yamemuendea vibaya, kwanza amegombana na mke wake na kaondoka. Pili, ana madeni ya milion 8 ya ndugu yake walikua wanafanya nae kazi.
Mke wake baada ya kuondoka siku hizi status zake anazoweka anamaanisha hana mpango wa kurudi, mara apost anajaribisba shela mara ampost mwanaume!! duh majanga matupu.
Sasa jamaa kila nikiongea nae mara kibao anaongea sana mambo ya kujiua mpaka nachoka kuongea naye.
Kuhusu kudaiwa anaemdai ni ndugu yake kwahyo hawezi kumchukulia hatua kali labda atamsema sema tu.
Jamaa kakonda ndani ya wiki 1 tu, ninavyohisi mimi kuachana na mkewe ndo kunamuumiza sana ila hataki kuniambia ukweli yeye anajifanya mambo ya kudaiwa ndo yanamsumbua kichwa. Huyu jamaa ni zaidi ya rafiki tumetoka mbali.
Nimshauri vp ili akae sawa? Maana nimetumia njia nyingi jamaa anazidi kupoteana tu hata haelewi.
Tena ahakikishe Deni linakuwa stahimilivu😃Afate huu ushauri. Amblock huyo mke, halafu akumbuke deni la taifa, akapambane.
Kataa NdoaMke wake baada ya kuondoka siku hizi status zake anazoweka anamaanisha hana mpango wa kurudi, mara apost anajaribisba shela mara ampost mwanaume!! duh majanga matupu
😀 😀Tena ahakikishe Deni linakuwa stahimilivu😃
Sio rahisi hivyo, omba YASIKUKUTEWanawake wamejaa kama mchanga leo anatokea "jinga" moja linataka kujiua kisa mke wake?
Kama amechoka kula ugali na maharage mwacha ajiue ndio fungu alilolichagua.
Daah we jamaaMpe k vant Kama first aidView attachment 2353459