Rafiki yangu anamuoa ex wangu daaah!!!

Rafiki yangu anamuoa ex wangu daaah!!!

Yaani mwezi uliopita nimepigwa na Mshangao mkubwa Sana. Iko hivi kipindi nasoma chuo flani hapa Dar, nilikuwa na Jamaa yangu (Tuseme anaitwa JAMES), lakini pia darasani kulikuwa na demu mmoja hivi (tumwite Rose) alikuwa ni mtu wa Dini sana.

Mimi pia kipindi hicho kwenye maswala ya Ibada na maombi nilikuwa naenda kishikaji vile, nazuga zuga Tu. Siku moja yule demu alinifata na Kusema angepebda tuwe na Company ya Kusoma Pamoja na Maombi.

Mara nyingi alikuwa anakuja sana Getto kwangu, so kuna Siku nilitest mitambo Tu, kumchezea Tukiwa getto, dem akanipatia mbususu. Hapo ndo kulizaliwa mapenzi, na Kwa kweli alinipenda yule manzi.

Muda huu wote James alikuwa hajui chochote kama ninamla ROSE. Lakini pia James na Rose pia walikuwa na urafiki wa kawaida na kwenye maombi walikuwa wanaenda pamoja mkmi nikiwa sipo.

Tulipomaliz chuo, zile harakati ngumu za kutafuta maisha zikanifanya nitengane na Rose, na mara ya mwisho nakumbuka nilimcheki miaka 7 ilopita hakupokea simu. Nikaamua kumpotezea.

Lakini kwa muda wote huu, nilikuwa nawasiliana na James ile kishikaji Tu. Siku moja nikaelekea mkoa X, na kwa bahati nzuri nikakutana na James, mwamba alifurahi sana na tulipiga stori nyingi.

Nakumbuka jioni moja, aliniomba niende kwake nikamsalimie Shemeji maana Katoka Kujifungua mtoto wa Pili siku si nyingi. Kwa kweli nilikubari kwends, sikuwa na hiyana yoyote kwani alikuwa ni mshikaji wangu kitambo!!

Nilifika nyumbani kwa James na kumkuta Mwanamke amekaa sabreni majira ya Usiku. Nikainama kuvua vuatu. "Karibu Shemeji, ingia bila kuvua viatu" ilisikika sauti ya Yule mwanamke, nikamwambia hakuna Shida nishavua na kuinuka.

Alahaula!!!!!!! Kumtazama yule mwanamke kumbe ni ROSE aisee....!! Nilishituka sana na hata yeye kama alipata kigugumizi, ikabidi nikaze tu, na kumsalimia mtoto wao mkubwa aliyekuja kusimama pembeni yangu.

Nilikaa pale ndani, na rose alipika chakula kitamu, tukala huku tunapiga stori za Hapa na Pale. Wakaniuliza kuhusu familia yangu nikawaambia iko poa.

Baada ya stori Jamea alinidokeza swala lao la kufunga ndoa. Na akaniomba mimi ndo niwe Best-man wake.

Kiukweli pale nilishindwa kukataa wala kukubari. Nikawaomba wanipe muda ili niangalie mambo yangu yanaendaje, kwani hata hivyo ndoa ni mwakani mwezi wa kwanza.

Baada ya wiki nilimchangia Rafiki yangu kama 500k. Na kumpongeza sana kwa Hatua aliyochukua.

Sasa hapa nilipo nimekwama kuelewa nini nifanye, nikubari kuwa Best-man wa rafiki yangu ilhari anamuoa mwanamke niliyekuwa nampenda au niwakatae?

Kwako mwana JF. Nipe mawazo
Elimu za vyuo sasa hivi mnazidhalilisha sana tena sana tu!

..."nikubari kuwa Best-man"...kuna "broken" ngapi za kiuandishi umezifanya hapo kwa sentesi moja tu fupi bila ya kutaja zingine kibao?

Ndiyo maana kuna watu hadi wanaanzisha uzi humu "kuwananga" baadhi ya wahitimu kumaliza vyuo bila ya kuelimika!
 
Kiufupi kipindi upo chuo wakati haupo james na rose walikuwa wanafanya maombi peke yao, hapo ndio walianzisha penzi lao na kutumia nguvu ya mwanamke wakapanga iwe sili asijue mtu, rose alifanya hivi ili kulinda urafiki weni wwn jamesi lkn pia kulinda penzi lake na james

Sent from my TECNO BD1 using JamiiForums mobile app
 
Rafiki yako hamjui dem wako, mlikua mnaishi kinafki sana. Na huenda dem alikua anawachanganya wewe na jamaa yako.

Wana huwa tunaambiana ili kupunguza rate za matatizo kama hayo. Na angekua anajua basi jamaa angekuja kwako kuomba go ahead kwanza kabla hajamchukua dem wako.
 
Elimu za vyuo sasa hivi mnazidhalilisha sana tena sana tu!

..."nikubari kuwa Best-man"...kuna "broken" ngapi za kiuandishi umezifanya hapo kwa sentesi moja tu fupi bila ya kutaja zingine kibao?

Ndiyo maana kuna watu hadi wanaanzisha uzi humu "kuwananga" baadhi ya wahitimu kumaliza vyuo bila ya kuelimika!
Hahahaha uandishi ni tatizo la wengi, na mbaya zaidi huwa hawariri maandishi yao.

Yaani mtu anaweka uzi bila kuupitia tena kujua makosa.
Kuna watu huwa hawasomi kabisa uzi wakiona una makosa mengi ya uandishi.
 
swali langu. kumchangia tsh 500,000 kunahusiana vipi na issue yenyewe kuu? maana ungesema tu nlimchangia ikatosha unaongezea sifuri kwenye 50,000 ili uonekane una pesa? wakati na demu mwenyewe alikuacha sababu umechoka na hujishighulishi? msiwe mnaandika uongo.
 
Kwahyo saivi ndoa ilifungwa? Na ulikua best man kama ulivyoaminiwa?
 
Kahudhurie tu after all umesema amekuuliza familia yako inaendeleaje ukamwambia Inaendelea vizuri.

Endelea na familia yako.
 
Yaani mwezi uliopita nimepigwa na Mshangao mkubwa Sana. Iko hivi kipindi nasoma chuo flani hapa Dar, nilikuwa na Jamaa yangu (Tuseme anaitwa JAMES), lakini pia darasani kulikuwa na demu mmoja hivi (tumwite Rose) alikuwa ni mtu wa Dini sana.

Mimi pia kipindi hicho kwenye maswala ya Ibada na maombi nilikuwa naenda kishikaji vile, nazuga zuga Tu. Siku moja yule demu alinifata na Kusema angepebda tuwe na Company ya Kusoma Pamoja na Maombi.

Mara nyingi alikuwa anakuja sana Getto kwangu, so kuna Siku nilitest mitambo Tu, kumchezea Tukiwa getto, dem akanipatia mbususu. Hapo ndo kulizaliwa mapenzi, na Kwa kweli alinipenda yule manzi.

Muda huu wote James alikuwa hajui chochote kama ninamla ROSE. Lakini pia James na Rose pia walikuwa na urafiki wa kawaida na kwenye maombi walikuwa wanaenda pamoja mkmi nikiwa sipo.

Tulipomaliz chuo, zile harakati ngumu za kutafuta maisha zikanifanya nitengane na Rose, na mara ya mwisho nakumbuka nilimcheki miaka 7 ilopita hakupokea simu. Nikaamua kumpotezea.

Lakini kwa muda wote huu, nilikuwa nawasiliana na James ile kishikaji Tu. Siku moja nikaelekea mkoa X, na kwa bahati nzuri nikakutana na James, mwamba alifurahi sana na tulipiga stori nyingi.

Nakumbuka jioni moja, aliniomba niende kwake nikamsalimie Shemeji maana Katoka Kujifungua mtoto wa Pili siku si nyingi. Kwa kweli nilikubari kwends, sikuwa na hiyana yoyote kwani alikuwa ni mshikaji wangu kitambo!!

Nilifika nyumbani kwa James na kumkuta Mwanamke amekaa sabreni majira ya Usiku. Nikainama kuvua vuatu. "Karibu Shemeji, ingia bila kuvua viatu" ilisikika sauti ya Yule mwanamke, nikamwambia hakuna Shida nishavua na kuinuka.

Alahaula!!!!!!! Kumtazama yule mwanamke kumbe ni ROSE aisee....!! Nilishituka sana na hata yeye kama alipata kigugumizi, ikabidi nikaze tu, na kumsalimia mtoto wao mkubwa aliyekuja kusimama pembeni yangu.

Nilikaa pale ndani, na rose alipika chakula kitamu, tukala huku tunapiga stori za Hapa na Pale. Wakaniuliza kuhusu familia yangu nikawaambia iko poa.

Baada ya stori Jamea alinidokeza swala lao la kufunga ndoa. Na akaniomba mimi ndo niwe Best-man wake.

Kiukweli pale nilishindwa kukataa wala kukubari. Nikawaomba wanipe muda ili niangalie mambo yangu yanaendaje, kwani hata hivyo ndoa ni mwakani mwezi wa kwanza.

Baada ya wiki nilimchangia Rafiki yangu kama 500k. Na kumpongeza sana kwa Hatua aliyochukua.

Sasa hapa nilipo nimekwama kuelewa nini nifanye, nikubari kuwa Best-man wa rafiki yangu ilhari anamuoa mwanamke niliyekuwa nampenda au niwakatae?

Kwako mwana JF. Nipe mawazo
Kupitia maombi, Rose alifanikiwa kuwakamateni wote, na wote mlikua hamjuani.

Kipindi hicho uliamini kuwa ulikua peke yako unayemla, kumbe James na yeye alikuwemo ila aliamini alikua mwenyewe. Huenda kuna njemba nyingine mbili tatu that make the five of you kila mmoja aliamini ni yeye tu mdiye anayemla.

"Kula tumbakishie baba", James ndiye kadondosha kijiti wanne mliobaki kila mmoja anajiona yeye ndiye alikua Mwamba na baada ya kuitema Big G, James kaikota, kaifuta mchanga na kuitia mdomoni na kuendelea kuitafuna.

Wanne bado hamjuani, ila wote mnamjua James, James hamjui yeyote...that's the game. Relax bro, easy your feelings, keep the ball rolling
 
Back
Top Bottom