Rafiki yangu anamuoa ex wangu daaah!!!

Rafiki yangu anamuoa ex wangu daaah!!!

Acha ujinga huyo sasa ni shemeji yako. Endeleeni na urafiki wa kawaida isitoshe huyo jamaa yako hajui usije leta taharuki ambayo itaharibu ndoa ya rafiki yako. Kuwa bestman mwenye hekima.
Poa mkuu
 
Sasa wewe inakuuma nini wakati ulianza kumla kabla ya James!! Wape support na wala usiumie isitoshe mlipotezana miaka mingi just move on acha uroho wa mbususu
 
Nenda kawe first man maliza shuguli bila kuwa na hiyana rudi endelea kufanya maisha hawa wanawake wamefanyiwa Mengi Mazito hata hayo uliona huenda

Kutaka kurudisha penzi nae hakuna maana zaidi utaharibu kila kitu na utazaa uadui ambao sio wa kawaida wewe msaidie kwa maana tayari wana watoto.

ukitaka ajue kwamba sio sahihi na ulikula ni ukosefu wa busara mbuzi wewe huwa tunakausha mahesabu mbinguni.

Kikubwa furaha hujawahi ambiwa kuwa uyaone ndio hayo sasa.
 
Mavi ya kale hayanuki. Rose alikutunuku penzi james katunukiwa ndoa. Mengine ni siri za rohoni tu. Hata tuliowaoa ukifatilia background yao utomtamani kwa uchafu waliofanya.
 
Back
Top Bottom