Rafiki yangu anampenda Padre

Rafiki yangu anampenda Padre

sema umengiwa tamaa kwa huyo padre ;IN THE NAME OF JESUS SHETANI SHINDWA
 
Kuna Padre mmoja namjua anakula sana watu kama hao asije kuingia kwenye 18 zake atachubuka
 
Shetani anakuja kwa maumbile mengi - Ikiwa baba yetu Adam alitetereka sijui kama padre atasalimika
 
Habarini waungwana!

Nina rafiki yangu kipenzi ametokea kumpenda padre anadai amejaribu kumpotezea lakini imeshindikana amejikuta anaumia na muda wote anashinda bila furaha kumuwazia padre.

Jamani tunaomba mbinu zitazomfanya afanikiwe kumpata padre kwani yeye si muimbaji kwaya wala huwa hatumikii kule mbele ni muumini tu! Pia na ushauri ruksa nipo nae hapa nae atasoma kila comment..

karibuni!
Hii ni dharau kwa dini za watu. Very offending. Seriously unakuja kuomba ushauri tukupe mbinu za kuzini na kiongozi wa dini fulani? Kama uko serious wewe na rafiki yako Mungu atawaongoza.
 
Eh Mungu utusamehe dhambi zetu ,utukinge na moto wa milele
Uongoze roho zetu mbinguni,hasa za wale wanaohohitaji zaidi huruma yako
 
Hiyo paragraph ya mwisho kwani wewe ninani aliekwambia kwamba kuwa mwanakwaya au mtumishi wa altareni kutakufanya umshawishi padre akuvue nguo...mwambie akamtamani baba yake shamba kama ana tamaa ya ngono aachane na hayo mambo ya padre
 
Mapenzi popote na unaweza penda yeyote jaman nae ndo kampenda padre
 
papuchi zinawawasha kwa miwasho tofauti tofauti, huu muwasho wa padri siyo wa nchi hii.
 
naomben niulize kdg.
Hivi kwani hao watumishi wa mungu sio Marijal km ilivyo kwa wanaume wengine?.
Na kama jibu ni Marijali je hzo shida za kukidhi haja za miili yao wanazitatua kwa njia gani km hawaruhusiwi kungonoka mana ikumbukwe mwanaume kufuga sana genye zinaathir sometime hta akili haiwi kawaida(hili wanaume tunajijua tunakuwa na hali gan).

Binafsi sitaki kuamini km watumishi wa mungu 'hawatindui'. wanayafanya km kawaida ila kwa siri ya hali ya juu.
Mara ngapi tunaskia 'za chinichini' wanawamega waimba kwaya, wahudumu wa kanisa, wanafunzi na wengineo.
kwahilo sisi wengine mtuacheeee
 
Habarini waungwana!

Nina rafiki yangu kipenzi ametokea kumpenda padre anadai amejaribu kumpotezea lakini imeshindikana amejikuta anaumia na muda wote anashinda bila furaha kumuwazia padre.

Jamani tunaomba mbinu zitazomfanya afanikiwe kumpata padre kwani yeye si muimbaji kwaya wala huwa hatumikii kule mbele ni muumini tu! Pia na ushauri ruksa nipo nae hapa nae atasoma kila comment..

karibuni!
Kama ni wewe sasa hilo pepo linakaribia kukupeleka kaburini kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti..! Stop it hizo tamaa zake/zako zitakuangamiza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom