Rafiki yangu anahisi kabambikiziwa mimba

Rafiki yangu anahisi kabambikiziwa mimba

Wanaume muwe responsible bana uroho gan wa utamu ukufanya ucheze peku inaonyesha hata afya yake haijal ingekuwa ngoma angesema kabambikiwa?
sidhani kama kabambikiwa itakuwa yake tu,yeye anaenda enda tu kwa mabinti kula raha,
 
Mwambie huyo rafiki yako ajal afya yake siyo kuwa zipu wazi ka mnyama...kwan aweza kutana na ishu ka hyo tena coz he is so careless so atibu mzizi wa tatizo na cyo matokeo...
toa reason c kukoment tu
 
Mwambie huyo rafiki yako ajal afya yake siyo kuwa zipu wazi ka mnyama...kwan aweza kutana na ishu ka hyo tena coz he is so careless so atibu mzizi wa tatizo na cyo matokeo...

Ni kweli cielo, hata mimi nimemshauri juu ya kujali afya yake , bt kwa hili maji yashamwagika zamani so tumshauri tu kuhusu hicho kijacho
 
yale yale utaambiwa tuma hela za kutoa
mjini shule watoto wa kike wana ujanja wao siku hizi
anakuambia ana mimba ili aone moto wako baadae atakuambia tuma laki 3 akatoe
huyo ukija kumuoa utaishi kwa pressure maisha yako yote
 
Kwa mujibu wa maelezo yako mimba siyo ya rafiki yako ila kaamua kumpa zawadi.. hii inatokana na mzunguko wake wa hedhi huyo binti ni kitu ambacho hakiwezekani kupata ujauzito siku nne kabla ya bleeding.
 
Back
Top Bottom