Rafiki yangu ana duplicate

Tusaidie jina la hicho kitabu
Wakati nasoma secondary nilikuwa mtunzi sana wa hadithi za kiingereza, niliwahi kutunga hadithi moja mwalimu wangu aliitumia kufundishia darasani. Ila hii haiwezi kufundishia.
 
Ndio wakat wa likizo coz aliondokaga nacho..af cjasema alikikuta bwenn nmesema alikikuta libraly coz alikua kiongoz wa libraly..
 
Hicho kitabu kinaitwaje, room 2 iko bweni gani? Maana pale ifunda room huitwa kulingana na block iliyopo.
hamna kitu km hicho kila block lina roo 2 yaan mkwawa kuna A2 na B2 na mabwen mengine pia yana mablock yenye roo 2..asa we cjui umesoma ifunda gani..mi nazungumzia ifunda tech na ifunda tech haina cha kusema room 2 iko bwen gan wakat kila bweni lina room 2 mbili..na atuit room 2 tunaita A2 B2 C2 na kuendelea upo hapo..kitabu kinaitwa the magic book..note ifunda kuna vitabu ambavyo ukisema uvitafute madukan hakuna tanzania nzima.
 
ofcoz yaweza kua hivyo..mana aliishia tu robo ndo ivyo je angekimaliza c angekua anapaa mchana huku watu wanamtazama duh kudadek.
 

Sijui kwa sasa ila nnachojua ifunda hakuna room 2. Ila kuna hizo ulizotaja, huwa zimekaa kiblock, mfano block A na B na C1 mpaka C3 hili ndio bweni la Mkwawa na mabweni mengine ya milambo,seuta na chaburuma yamegawanywa hivyo. Sasa room 2 sijui labda sinza kule kwa mademu maana sikujui vizuri. Hicho kitabu ngoja nkitafite maana kiambiwa tu mi mbado kuamini
 
Bavaria kwenye likes received una 3583 lakini kwenye likes given una 0!yani hajawahi kutoa like hata moja!!! Ninini hii??? Ni uchoyo au??? Just curious!


Nipe umuhimu wa kutoa likes.
 
Last edited by a moderator:
Pale nlimaanisha "ile naingia chumbani tu nkamkuta ally" room 2 yan chumbani tu..
 

Duh!!!hapo ulipo na wewe ni jini ambae hujatimia.bada ya miaka mitano utakua jini kamili.tafadhali wahi dua kabla ya muda huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…