Rafiki yangu ana duplicate

Rafiki yangu ana duplicate

Jamani mi sjasema tulikua tunasoma kutwa nmewaambia tumesoma ifunda tech mm na huyo rafk yangu au kwakua tulikua twaenda masjid..ni shule ya bweni jaman nieleweke yeye kwao ni singida na mm kwet ni dar tumekutana ifunda...ally kwa sasa yuko ubungo chuo cha maji..mauzauza hayaon kwa sasa coz alivoendaga likizo akaenda na kile kitab..akawaeleza wazaz wake wakakichoma moto nayeye akasomewa dua na shekh had leo yuko vzur..hii co uongo nikwel kabisa coz co kwamba vyote vilivyomtokea kaniadithia no vingine nmeviona mwenyewe alivokua anaduplicate mi nlikua narecognize kabisa..yan jamaa alikua yuko speed xana unapomuacha sehem na unapoenda kumkuta yan dah aviusiani kabisa...iv kwamfano wana jf wewe labda unaingia labda nyumbani kwenu au kwako afu pale balazan kwako ukamkuta labda mdogo wako anapiga stori na wenzie afu unazama chumbani kwako unamkuta yeye mara ya pili apo utasemaje..bac ndo mazingira km hayo asa nyie mnasema chai tena..kitabu kinaitwa the magic book cjui vile...na mle libraly hata km kilikua kinahamahama uwez jua alipokikuta ndo kilikuwepo jana yake? Pengine na mle libraly kilikua kinahama..
 
Ally yuko chuo cha maji..mauzauza hayaoni tena alisomewa dua alvoenda likizo
 
Hicho kitabu alimaliza kukisoma kweli? Manake unasema kila anapokiweka kinahama chenyewe, au kilipotea kabisa?
hakumaliza alikua haelewi anasema kina maneno magumu..hakijapotea alikichoma moto alivoenda lkizo..akihami kwenda mbali yan km ulikiweka juu ya meza unakikuta juu ya kabat
 
Si ungemuuliza Ally mwenyewe vizuri. Hakuna cha kujadili
 
Anasema kilikua kinahama wakat yuko nacho kwao singida ila pale skul alikua akimaliza kukisoma anakificha kwenye trunker ili tuskione
 
Bro umejichanganya pale nliposema tulikua tunasoma shule moja ya "kuitwa" ifunda tech..sio kutwa..kuitwa..
 
Hicho kitabu kinaitwaje, room 2 iko bweni gani? Maana pale ifunda room huitwa kulingana na block iliyopo.
 
Hivo vitabu wazee wazaman walikuwa wanavificha au kuvifukia wanapokaribia umri wa utu zima vinakuwa na siri nyingi na kazi nyingi ila sjajua ni moja ya vitabu vya aina hiyo ama sivyoo ila nikwambie kitu hiko kitabu ni km ni moja ya aina hiyoo mpaka ufundishwe kukitumia na yy huyo Ali alikuwa hajui kukitumia kawaida ya vitabu km hivo km hujui kutumia vinaishara ya kukujuza sikitabu cha kawaida hapohapo unapokisoma unaweza ukahisi chumba kiko juu chini na mengineyo alitakiwa akipotezee tuu nitarudi baadae .........
 
Hebu tupia jina la hicho kitabu tafadhali.......
 
Anasema kilikua kinahama wakat yuko nacho kwao singida ila pale skul alikua akimaliza kukisoma anakificha kwenye trunker ili tuskione

Wakati wa likizo auO🙂si umesema alikikuta bwenini???
 
Back
Top Bottom