HONGERA kwa uandishi huu.dah....rafiki yangu pia alidisko pale.kamatii ilikaa
tukafanikiwa:
techniues
1.fata lecture m moja m moja wa.kla coarse
2.adult zine.za.kutosha
3.Make any adult conficing.liars.
4.Amfate lecture 1amabaye anahisi. atamsadia
sababu mzumbe kuna ile accumulation sups. ategue moja.
Pole sana jamani! ina maana alikuwa stagadi si ndio! kama nijuavyo hao waliomaliza mwaka wa kwanza supp zao zitafanyika mwezi Desemba baada ya mahafali. kama hutajali sema alikuwa kozi gani na mwalimu ni nani! lakini hata hivyo anaweza kulipia 20,000/= akate rufaa. ni PM tuongee kwa undani dalali-mkuuRafiki yangu ana soma mzumbe mwaka wa 2 matokeo yame toka amedisko...ana fanya mpango wa ku appeal ..da namuonea sana huruma mana jana jilipia ata bumu hapati ..ALAFU NI MTOTO WA KIKE..nimsaidiaje wakuu naomben mawazo yenu
Ni lecturer au tutor? Ana digrii ngapi?Mwambie aje PM, rafiki yangu ni Lecturer hapo mzumbe
Mkuu uo ni mtazamo wako tuMwambie akaolewe tu... Maisha sio shule peke ake.
By the way, kwenye appeal yake kama katoa sababu za kueleweka anaweza akasikilizwa... Mfano kwanza awe na GPA angalau ya 1.7, Pili matokeo yake ya nyuma yawe ya kuridhisha na tatu atoe sababu nzito ambayo ingeweza kuathiri uwezo wake wa kusoma na kuelewa, mfano kuachwa na mpenzi hasa karibu na kipindi cha mitihani, kufiwa na mzazi n.k
kama kweli ulifaulu kwa akili zako & ukachaguliwa kujiunga na chuo huna sababu ya ku disco labda kama uliugua au kupata matatizo wakati wa mitihani, bora hata sup kidogo ntakuelewaLin kweny maisha hivi vitu hutokea
Ni kweli mkuu... Mimi nimesoma UDSM, na utaratibu kama huu ulitumika kuwachomoa watu waliokuwa wamedisco...Mkuu uo ni mtazamo wako tu
kwa uandishi huu na wewe ulikuwa chuo??dah....rafiki yangu pia alidisko pale.kamatii ilikaa
tukafanikiwa:
techniues
1.fata lecture m moja m moja wa.kla coarse
2.adult zine.za.kutosha
3.Make any adult conficing.liars.
4.Amfate lecture 1amabaye anahisi. atamsadia
sababu mzumbe kuna ile accumulation sups. ategue moja.
Vipi mkuu ilikuaje adi ukaponea kudiscoase pole yake mkuu,dah hatar sana ase watu tumeponea kudisko yani acha tu,cha msing awe mpole kwanza akili yake itulie then ajaribu kufaham nin lilikuwa tatzo mpaka akadisko mana kam anatak kuappeal means ana uhakika alifanya vema,ila kama alifeli halali bas ajaribu kupeleleza au kufatilia kam kuna njia yoyote au mtu wa kumsaidia mana najua lada kuna weng washawahi kudisko ila wamerudi kuemdlea kusoma chuo,apate ushauri kwa watu wazur wa karbu anaowafahamu hapo chuo.apate pa kuanzia
Mwanafunzi akisha-disco "lecture" mmoja mmoja atamsaidiaje? Nijuavyo mimi maamuzi ya kum-discontinue mwanafunzi hufanywa na baraza la chuo husika na ni baada ya matokeo husika kujadiliwa katika ngazi za idara na vitivo. Lecturer ana mamlaka na matokeo kabla "hajayaachia rasmi"; akishayaachia ataweza kufanya mabadiliko tena ya status, si ya maksi kwa maelekezo ya bodi ya watahini. Mabadiliko ya maksi yanawezwa kufanywa baadae kama mtahini wa nje atapendekeza. Kama anahisi kaonewa aandike akate rufaa. Hizo "any adult conficing liars" zinafanya kazi vyuo magumashi.dah....rafiki yangu pia alidisko pale.kamatii ilikaa
tukafanikiwa:
techniues
1.fata lecture m moja m moja wa.kla coarse
2.adult zine.za.kutosha
3.Make any adult conficing.liars.
4.Amfate lecture 1amabaye anahisi. atamsadia
sababu mzumbe kuna ile accumulation sups. ategue moja.
Aisee kweli balaa kama ndo ivoMwanafunzi akisha-disco "lecture" mmoja mmoja atamsaidiaje? Nijuavyo mimi maamuzi ya kum-discontinue mwanafunzi hufanywa na baraza la chuo husika na ni baada ya matokeo husika kujadiliwa katika ngazi za idara na vitivo. Lecturer ana mamlaka na matokeo kabla "hajayaachia rasmi"; akishayaachia ataweza kufanya mabadiliko tena ya status, si ya maksi kwa maelekezo ya bodi ya watahini. Mabadiliko ya maksi yanawezwa kufanywa baadae kama mtahini wa nje atapendekeza. Kama anahisi kaonewa aandike akate rufaa. Hizo "any adult conficing liars" zinafanya kazi vyuo magumashi.
Sawa zime fikaPole yake asee
Ni kweli ila kinachouma ni kupotezewa time & resources....nakumbuka watu wangu wa3 walipigwa disco aisee walichanganyikiea + shombo za haters lakini leo wapo vizuri tu kimaishaKudisko mtihani sio maisha. Matajiri kibao hawakumaliza shule hizo. Usijisifu kiaina.