1. Je nini kimemfanya kufeli???
2. Ikiwa kama ameshindwa Elimu ya Juu (elimu rahisi kama Elimu ya chini - chekechea) mshauri atafuta namna nyingine ya maisha.
3. Lecturer wetu mmoja alikuwa nasetuambia "si lazima wote mhitimu".
4. Yeye ni mtu mzima anaweza kujaribu ndoa.
5. Ikiwa kama ameshindwa kujifaulisha chuo, basi atalifelisha taifa.