EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
- Thread starter
- #21
Mkuu unaelewa dhumuni la HilI jukwaa kweli humu watu wanaleta visa kibao vinavyowahusu bnafsi na visivyowahusu uwenda hata vya kutunga Tu sasa kama unataka Kila mtu akiwa na Jambo lake la kimapenzi akalitatue na mwenzie huko humu uwenda jukwaa litakosa thread. Lakini nakuona kama una magonjwa ya kisaikolojia hebu yafanyie kazi maana tayari umeanza kuchukia Mambo binafsi ya watu come on manMkuu, mwanamke haukumpenda unaumizwa nini na yeye kuwa na mtoto?
Kama umeshaoa endelea na maisha yako mapya, hakuna haja ya kuwaza nia ya rafiki yako.
Kama hauwezi kuishi kwa amani mpaka ujue nia yake basi nenda ukamuulize huyo rafiki yako ndiyo anayejua.
Humu unataka tupige ramli!!? Man up brother.