Ukishatanguliza habari ya mauzinzi kwa maisha haya hatufiki mbali, kuna mambo mengi ya ku share, lakini sisi tumesha crem kitu kimoja tu vichwani mwetu,
mimi
nina miaka 26
naruhusiwa.
Umeolewa? Tuanzie hapo maana kwa age yako kugawa namba si bure...
Ha ha ha yaani mpaka uokote vocha? usawa wenyewe huu nani wa kupoteza hiyo vocha?
Sana sana nimebobea kwenye kazi yangu ya msingi (ya ajira) lakini huku niliko nimebahatika kupata rooms 2 za biashara, lakini kila nikiplani biashara kwa nature ya eneo lenyewe naambiwa na wazoefu hiyo hapana weka nyingine ambayo nayo baadae inaonekana siyo, so ki ukweli niko kwenye dilemma ,,mwenye kupenda ku share na mimi zaidi kuna namba ya simu hapo juu. Asante!
Habari ya usiku wapendwa mimi ni mwanamke age 40 to 45 ni mwajliwa na pia ni mjasilia mali HITAJI: marafiki wa jinsia zote, umri wowote ili tuweze kujadili kuhusu maendeleo hasa kuongezeana ujuzi na mbinu za kibiashara, maana mishahara peke yake haitoshi kukidhi mahitaji yetu. asante, mawasiliano 0787 010718
Watanzania akili zetu zimeoza kwa kuwaza ufuska....
Tuna amkia ufuska tunalalia ufuska na kutwa nzima tunashindia ufuska....ukisikiliza muziki watu wanimba ufuska ,ukiingia kwenye mitandao ya kijamii watu wanapost ufuska...ukikaa kwenye vikundi vya rika zote maada zinazopendwa ni ufuska tu...na hata humu JF mada zenye kujenga na kukuletea mabadiliko kama sio mafanikio watu wanazipa kisogo na badala yake wanakesha waki discuss ufuska.....
Mada pendwa ni mbinu za kumfikisha mwanamke kileleni....namna ya kuchelewa kukojoa....ukubwa wa madushe...na zingine nyingi za kishenzi ndio maana wengi wameshindwa kumuelewa mtoa mada....katika taifa kama hili na watu wenye fikra mbovu kama hizi bado tuna safari katika vita ya kupambana umaskini vile vile tuna kwamisha juhudi za shirika la afya duniani za kupambana na maradhi hatari ya HIV....ndio maana rais anaamua kila mara akajipumzikie huko nje ya nchi....
wabongo bwana
...hatujikubali ndio maana utasikia kila mtu "wabongo bwana"
mwanamke mpaka sa hizi hujalala!!! unasubiri nini kwanza....
Kuombwa ni kawaida, lakini si kila ombi linakubaliwa