Nimepata ujumbe kutoka Girlfriend wangu huko Ughaibuni anaomba ushauri. Yeye ana rafiki yake mmoja (Mtoto wa waziri) anaishi na boyfriend mmarekani mweusi ambaye ni loser fulani hivi. He does odd jobs, ni ex felon (was imprisoned for like a month and put on supervised release 5 years; restitution of $15,000 due to embezzlement of funds by bank employee Aiding and Abatting). She takes care of him monetary wise/entertainment etc. Huyo binti ana elimu nzuri tu anafanya kazi ya kawaida. Wanaishi in a not so good neighborhood in a not so good apartment.
Swali lake ni hili...amshauri vipi rafiki yake (bila ku hurt her feelings)aachane na huyo bwana ambaye ni kama anamtawala sana. Uwezo wa kurudi bongo anao, baba yake ni waziri, sio kwamba wanaishi maisha ya shida hapa bongo.
Your comments are wellcome please
Swali lake ni hili...amshauri vipi rafiki yake (bila ku hurt her feelings)aachane na huyo bwana ambaye ni kama anamtawala sana. Uwezo wa kurudi bongo anao, baba yake ni waziri, sio kwamba wanaishi maisha ya shida hapa bongo.
Your comments are wellcome please