Rafiki shemeji ulinitesa lakini nilikuelewa

Rafiki shemeji ulinitesa lakini nilikuelewa

Hahahaaa, you can't win all the time. Hata simba, mfalme wa mwitu kunasiku anakwaa kisiki kwa pundamilia, halafu anaangalia mawindo mengine
yalinikuta kwa bint mmoja alinikubalia ila akawa haruhusu hata nimshike wala romance ila alikua anamezea mate vipesa vyangu.
Mwisho wa siku akaniambia hatonipa game mpaka tufunge ndoa (mwanzo aliniambia yy ni bikira nkamwambia nikikuta sio sitomwamini maisha yangu yote) nadhani ndo aliona ataumbuka.

Alivyochaguliwa chuo akaanza mara nimpe laptop yangu anapata shida kusoma nk.....

Nkatupa kule maisha yakaendelea...
 
Kwa jinsi ulivyoandika Mkuu nilijua hitimisho ni kukuvulia picchu hasa ukitilia maanani alivyokuwa akijiachia kwako si ajabu kuliko hata kwa dada yake, lakini akajua si busara kukutimizia adhma yako ya kumtafuna. Yeah! She is a beautiful soul.

Mkuu unakua kama mtu mwenye maono vile, unaongea vitu vya ukweli ujue
 
Hapa ndipo panapo thibitisha kuijua saikolojia ya mwanamke ni kazi nyingine ngumu kuliko ya kufukuza kuku mweusi kwenye chumba chenye giza nene..

Yamewahi nikuta hayo ndugu na urafiki hata wiki haukuchukua ulikufa tangu nimuombe tunda
Aliandika James Hadley Chase, 'YOU NEVER KNOW WITH WOMEN'. Ni shida, kila unavodhani unawaelewa wao wana ku surprise. Sometimes 'ndiyo' kwao inaweza kua 'ndio' au inaweza kua 'hapana' kama ambavyo 'hapana' kwao inaweza kua 'hapana' au 'ndio'! na kisha akakushangaa kwa kutomuelewa!
 
Kwa jinsi ulivyoandika Mkuu nilijua hitimisho ni kukuvulia picchu hasa ukitilia maanani alivyokuwa akijiachia kwako si ajabu kuliko hata kwa dada yake, lakini akajua si busara kukutimizia adhma yako ya kumtafuna. Yeah! She is a beautiful soul.
You know what? I very much admire her...very much indeed, kuna wanaume wanabahati maishani kama huyo mumewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
F....foolish
A...african
N...never
T....take
A...alcohol




Waerevu tunaelewa dhamira ya mtoa post hadi na kuweka hiko kibwagizo ili kujua ni ya kutungaaa
 
F....foolish
A...african
N...never
T....take
A...alcohol




Waerevu tunaelewa dhamira ya mtoa post hadi na kuweka hiko kibwagizo ili kujua ni ya kutungaaa
Ili nimfurahishe nani sasa, lakini naheshimu mawazo yako
 
Back
Top Bottom