The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
Unaweza Shaur nini The Boss ktk hili?
Time heals all the pain wanasema ...
Unaweza Shaur nini The Boss ktk hili?
Mkuu...naomba unishaur kitu,PMTime heals all the pain wanasema ...
sawa bwana ALWATANUmenikumbusha nikiwa form two class kulikua na demu mkali sana, ikatokea nikawa karibu na yule demu, hakuna siri aliyonificha, yaani ukimtongoza lazima aje kuripoti kwangu, na Mimi natia figisu mpaka unakataliwa. Japo nilikua na kademu kangu, ila huyu ukaribu ulizidi mpaka kademu kangu kakawa kanakasirika sana. Dormitory nilikua nataniwa sana (nisipo kula mzigo wenzangu watakula alafu ntaaibika alwatani mimi). Nashukuru mpaka tunamaliza hakuwai mkubali mshkaji yoyote pale. ALWATANI MIMI SIKUPATA FEDHEHA.
Aiseee....Kukaa na shemeji hakujawahi muacha mtu salama
Mcharo anasubirifanta siku hizi kawa cocacola tena tangu aolewe ameongezeka Pepsi kwenye bottle yake
Mi mwenyewe nashindwaga kuwaelewa jamaa wanaokua na urafiki na mademu... mi km demu hunipi ngenya sitaki shobo kabisa....Mzigo hukula?,urafiki wa mvulana na msichana ambaye sio ndugu yako unaanzia wapi kwa mfano?
You are very right mkuuTime heals all the pain wanasema ...
Thankyou so much broandiko limekaa kikubwa, limejaa ukomavu, pia uchaguzi wako wa maneno uko vizuri.
Wapo mkuu sema kukutana nao bahatiWanawake kama hao kumbe bado wapo?
Inapendeza kwakweli ila inaumiza sana nafsi kama lengo kuu lilikua umgegede.Wapo mkuu sema kukutana nao bahati
Nakuelewa mkuu ila binadamu hawafanani, tabia na hulka zinatofautiana, Wamakonde wanasema inategemea ntu na ntuMi mwenyewe nashindwaga kuwaelewa jamaa wanaokua na urafiki na mademu... mi km demu hunipi ngenya sitaki shobo kabisa....
Hahahaaa, you can't win all the time. Hata simba, mfalme wa mwitu kunasiku anakwaa kisiki kwa pundamilia, halafu anaangalia mawindo mengineInapendeza kwakweli ila inaumiza sana nafsi kama lengo kuu lilikua umgegede.
Mkuu unakua kama mtu mwenye maono vile, unaongea vitu vya ukweli ujueFanta jina lake lingine la utani lilikuwa beautiful soul.