Rafiki anapokumegea mama yako....

Rafiki anapokumegea mama yako....

Kwa hiyo kama rafiki yangu kaanza na maza, na mimi rukhsa kuanza na maza yake kama yupo single?
 
Mhhhh!!! Huyo mama balaaa, nadhani anataka mapigo ya kijana. ILa kama kosa kweli kalifanya kwa kuwa katembea na rafiki wa mwanae, Lakini asingekuwa rafiki wa mwanae mie naona ni kawaida kwa kwa dunia ya sasa wamama wazee wanapenda vijana wadogo na wababa wazee pia wanapenda wasichana wadogo.

Maji yameshamwagika, inabidi huyo kijana akubali rafiki yake ni step daddy. Maana mama yake ameshazama na dada wanamsapoti mama yake.
 
Kwa hiyo kama rafiki yangu kaanza na maza, na mimi rukhsa kuanza na maza yake kama yupo single?
hata kama hayupo single kaka, cha msingi ni kulipa kisasi, naye inapendeza akukute juu ya kifua cha mama yake, halafu afeel kama ulivyofeel wewe au vp mkubwa
 
Du!!!! Is that true. We should admit that the world is over.
 
kuna dogo mmoja yalimtokea kama hayo,alichofanya ni mauaji kwani alimlima jamaa na jembe mpaka kumtoa utumbo,jamaa alikufa kifo kibaya sana,akawekwa ndani ila nasikia alitolewa ama hama nchi yuko South Afrika
 
Hujasema umri wa huyo dogo, lakini kama ni over 18, basi wote wakubwa. Hao ni consenting adults, kinachotokea baina yao ni juu yao wenyewe. Hakipaswi kumuumiza yeyote.
 
Mijimama ya siku hizi bwana, hovyoooo haikubali matokeo!!!!!
 
Hujasema umri wa huyo dogo, lakini kama ni over 18, basi wote wakubwa. Hao ni consenting adults, kinachotokea baina yao ni juu yao wenyewe. Hakipaswi kumuumiza yeyote.

Sijajua ana umri gani exactly, lakini yuko kidato cha nne. Sasa kadiria miaka hapo, itakuwa between 17 to 19. Usisahau mitihani ya mwisho ya kidato cha nne haiko mbali lakini kijana anajirusha na mmama wa watu.
 
Sijajua ana umri gani exactly, lakini yuko kidato cha nne. Sasa kadiria miaka hapo, itakuwa between 17 to 19. Usisahau mitihani ya mwisho ya kidato cha nne haiko mbali lakini kijana anajirusha na mmama wa watu.

Hapo sasa kama ni under 18 huo ni ubakaji, na hao dada za huyo mama wanaoshabikia ubakaji huo wanapaswa kulaaniwa kabisa. Huyo dogo hana wazazi? Hii ni kesi inayopaswa kufikishwa kwa wazazi na zaidi.
 
Mwanaume akimtorosha mwanafunzi msichana ni kesi mbaya. Je kwa jimama lililomtorosha kijana wa shule sheria inasemaje?
 
Mimi nikiwatizamaga Masanilo na Fidel naona kama mapacha vile!!​

Hehehe kwa nini mama mwacheni kijana ashikilie mahips si unajua mimama anavyo jazia mihipps mwacheni dogo afaidi maisha yenyewe haya mafupi usishangae kesho wewe MJ1 tukakumiss kwa kujikwaa tu.
 
Ndo ulimwengu huu ulivyo. Hauna formula. Cha msingi dogo akubali yaishe maana mama ni mama tu hata afanyaje hata kuwa na mama mwingine. Matatizo mengine amwachie mama yake.
Kuna rafiki yangu ambaye mama yake aliachika akiwa mdogo aliwahi kuniambia kuwa aliyoyaona akiwa anakua yamemfanya ajue kitu kimoja tu ndani ya akili yake....kuwa chako ni pale wenyewe unapokuwepo. Ukisogea hata hatua mbili usijaribu kudadisi nyuma nini kimetokea. Ndo experience za maisha zilivyo
 
Na wewe nawe mama ana lana gani? Nani kakwambia mapenzi yana umri? Mwache dogo ajimegee cha muhimu huyo dogo aaanze kumwita rafiki yake baba mdogo.


sio rahic kuhivyo, hayajakufika tu.
 
Back
Top Bottom