Rafiki alieleta zegwee maskani!

Rafiki alieleta zegwee maskani!

Life is about trying and error unapo kosea ndipo unapo jifunza mkuu.
First of all ukijiunga na site yoyote Ile ya online before huja comment au kuanzisha topic make sure unajipa all most week 2 za namna ya kujifunza jinsi ya kuweza kuendana na site hiyo

Btw hongera Kwa kukubali udhaifu wako ,
 
Jamani tusimsimange mdogo wetu,hizi lugha za kirafiki zinafahamika.Embu tujikite kwenye uzi basi!(mbona hata sisi tunaandika kiswa-nglish ktk post zetu??)

Kijana nimependa hitimisho lako,
Tunapelekwa shule kujifunza western culture,on the same tuishi kiafrika!
1.Shuleni unafundishwa kilimo cha mkono siyo dili,rudi kwa wazee uwambie hivo!!
2.Unaambiwa usitumie kuni na mkaa kupikia,rudi nyumbani uyaseme!
3.Unaambiwa usichaguliwe mchumba (Rejea kitabu "three suitors one husband") ukija nyumbani eti kuna mtoto tunamfahamu OA huyo!
Yapo mengi sana ya ajabu!

Kisa hiki kiamshe haja zetu tulizonazo za kudai mtaala mpya utakaoendana na matakwa yetu(according to our living)

Ila kijana wa chuo inakuwaje kiswahili kinakuletea changamoto kukiandika kwa usahihi,ukiacha yale maneno ya swaga.
Mfano "nika mpeleka" badala ya nikampelea.Kuna maneno ambayo huambatana na viambishi/vitenzi saidizi vyake hutakiwi kuyatenganisha!
Issues sio lugha iliyo tumika tu , content nzima haieleweki lengo lake ni Nini !?

Yaani simulizi haina mbele Wala nyuma
 
Nimeangalia jina la mtoa mada
Halafu amejiunga lini
Nikafata comments
Mwenye aliesoma thread naomba summary
 
Hivi hili neno meme limekua msamiati mpya nyie vijana... Kuna kitoto nilichukua namba katika kuchati kinaandika meme badala ya mimi... nimekiacha kwa kweli.

kisa meme tuu umekaacha mkuu sio vyema
 
Back
Top Bottom