Heshima yako mkuuHapa mpaka vyuo vifungue november huko kazi ipo
Mzembe sana weweSikupata nafasi...
Sikushauri kabisa kuanza kufikiria kuandika nyuzi zingine rudi darasani walau 4yrsPole mkuu ntajaribu kufutilia uandishi wa uzi nyingine kusudi niwe bora nami![]()
Umefeli Sana,ukipata nafasi piga hata bao moja hapo ushampoteza huyo binti...Sikupata nafasi...
Mzee Mimi nimekupata Ila usipende kupeleka mademu nyumbani kwa wazee,mpeleke sehemu nzuri mtulie mle maisha au ingekuwa umepanga ungempeleka kwako sio kwa mzee au kwa masela