salaam wakuu, nimeshushiwa mzigo mwingine tena wa radio za gari zinatoka ujerumani, ni mpya(siyo used), zinapiga Audio CD,CD-RW,MP3,USB,SD/MMC, 4 x 100 Watt Max. bei imepungua kidogo, 250,000 hela ya kwetu. unakuwa na USB-stick yako unajaza nyimbo zako kwenye mp3 format basi wewe unakula ngoma mpaka basi.
nitwangie 0715250540 ama 0773250540
nitwangie 0715250540 ama 0773250540