Radio Tumaini

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,769
2,544
Kiukweli binafsi napenda kusikiliza hii radio ila ubora wake hovyo. Iko mono sana na frequence zake hazipatikani vizuri. Mbona Praise power, Wapo fm n.k zinasikika vizuri? Tumaini ni redio kubwa sana. Naomba tu huu ujumbe uwafikie. Radio Tumaini haina quality!
 
Kiukweli binafsi napenda kusikiliza hii radio ila ubora wake hovyo. Iko mono sana na frequence zake hazipatikani vizuri. Mbona Praise power, Wapo fm n.k zinasikika vizuri? Tumaini ni redio kubwa sana. Naomba tu huu ujumbe uwafikie. Radio Tumaini haina quality!

Huwa wanaomba wasikilizaji wawape 'feedback'. Lakini kusema tu haina 'quality' haisaidii kitu. In fact, unaweza kusema karibu radio zote hapa Tz hazina quality. Kitu ambacho kingesaidia ni wewe kusema programmes ambazo unaona hazina quality na pia kuona kama haitimzi objective zake.
 
Huwa wanaomba wasikilizaji wawape 'feedback'. Lakini kusema tu haina 'quality' haisaidii kitu. In fact, unaweza kusema karibu radio zote hapa Tz hazina quality. Kitu ambacho kingesaidia ni wewe kusema programmes ambazo unaona hazina quality na pia kuona kama haitimzi objective zake.

nadhani hujanipata ndugu. Sina ugomvi na vipindi bali output in terms of sound quality. Nikasema wako mono sana haina stereo hii radio. Pia haipatikani kwa ufasaha. Kifupi tunahitaji 'mchicha' wakati wa kusikiliza
 
hivi radio tumaini ni tofauti na radio maria?
Ndio Magezi...ni tofauti!

Tumaini inapatikana na kurushwa tokea Dar , may be inakamata na mikoa ya jirani na hapo.

Lakini redio Maria inarusha matangazo toka Songea, na ina vituo karibia nchi nzima na hivyo kupatikana kwa ubora wa juu, na ni redio Kongwe kabisa ya Wakatoliki.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom