fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
wapendwa,radio stesheni nchini zimekuwa nyingi mno,mnoooo hasa katika miji yetu mikubwa tz!je ipi iko poa kwa ajili ya taarifa,burudani n.k?mitaani kila napopita nasikia wame-tune in Clouds fm,je mimi ni wazamani nini maana huwa siisilizi hiyo radio!najua kutoka kwa nyie wadau nitapata sehemu sahihi kabisa,nawasilisha