Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Habari yenu wakuu!
Mimi Radio Producer, leo tarehe 20/06/2011 nimeamua kuandika kuomba kazi kwa mtu yeyote anaemiliki media house iwe na Radio au TV station. Nimeamua kufikia ombi hili ili kuweza kuruhusu uwezo na utaalamu wangu kutumika zaidi. Zifuatazo ni sifa zangu:-
1. Nina Diploma level in Media Production.
2. Nina fanya kazi hizi:- 1. Radio Production (kuandaa vipindi, kuvirekodi, kuviedit, kuandaa matangazo ya biashara, jingles, spots nk) 2. Nafanya kazi za news, ikiwa ni pamoja na collecting, writting, editing and presenting news. 3. Natangaza pia vipindi mbali mbali, nina uwezo wa kutangaza kila aina ya kipindi.
3. Mimi ni certified international trainer, huwa nafanya training ya media. Ikitokea wafanyakazi wakawa na kiwango kidogo cha kazi tunawapiga kozi kidogo mambo yanakuwa super tena.
4. Nafanya pia ufundi mitambo wa studioni (Studio technician), huhitaji kuajiri fundi mitambo tena kwa hapo ndani mimi nitamaliza kila kitu.
5. Nina utaalamu mkubwa tu wa kutumia computer (software za audio kama adobe audition, virtual DJ, BPM studio, Tune Tracker, Google radio automation system, Wav Lab, Na sasa najifunza cubase) Nafanya kazi pia kama producer wa music so tunaweza kudesign music studio kwenye station yako ikaongeza kipato. Kiukweli kuhusu computer hakuna shida wakati mwingine hata kuzitreat huwa najaribu.
6. Nina mult ideas za kuendesha vipindi vyenye kuleta kipato cha kutosha katika redio. Naweza kudesign programmes ambazo ni total business programs ambazo lazima tu ziingize income ya kutosha.
7. Nina andaa schedule mpya za vipindi bila shida. Nadhani haya ni baadhi ya mambo ambayo nafanya mimi Radio Producer.
8. Professional in communication skills, ikiwa nimesoma communications kwa level nzuri tu, naweza kuendesha follow up office kwa radio yako, nafanya counselling pia, nimejifunza audience relation pia.
Nimeamua kuomba kazi kwa mtu mwenye nia na malengo ya kubadilisha radio yake kuwa yenye kuleta faida mi nipo tayari. Napendekeza pia kama nafasi inakuwepo ukinipa PROGRAM MANAGER, mwenye utashuhudia kazi ilivyo kaa vizuri. Nafanya radio yoyote iwe ya dini au isiyo ya dini. Condtion zangu za maslahi si za gharama sana, tukiwasiliana nina imani hazitakusumbua, naweza kufanyakazi mazingira yoyote cha msingi ni ushirikiano wako. Kwa mtu aliye serious naweza kutoa demonstration period ambayo nitakuja kufanya kazi kwa kudemonstrate tu kanza kabla ya mkataba wa ajira, demonstration period ni wiki 2 ila utanigharimia gharama za chakula, malazi, usafiri wakati nikifanya hizo kazi na posho yoyote utakayopenda wewe. Kwa aliye tayari naomba tuwasiliane kwa PM au email hii: radioproducer@rediff.com
Asante.
Mimi Radio Producer, leo tarehe 20/06/2011 nimeamua kuandika kuomba kazi kwa mtu yeyote anaemiliki media house iwe na Radio au TV station. Nimeamua kufikia ombi hili ili kuweza kuruhusu uwezo na utaalamu wangu kutumika zaidi. Zifuatazo ni sifa zangu:-
1. Nina Diploma level in Media Production.
2. Nina fanya kazi hizi:- 1. Radio Production (kuandaa vipindi, kuvirekodi, kuviedit, kuandaa matangazo ya biashara, jingles, spots nk) 2. Nafanya kazi za news, ikiwa ni pamoja na collecting, writting, editing and presenting news. 3. Natangaza pia vipindi mbali mbali, nina uwezo wa kutangaza kila aina ya kipindi.
3. Mimi ni certified international trainer, huwa nafanya training ya media. Ikitokea wafanyakazi wakawa na kiwango kidogo cha kazi tunawapiga kozi kidogo mambo yanakuwa super tena.
4. Nafanya pia ufundi mitambo wa studioni (Studio technician), huhitaji kuajiri fundi mitambo tena kwa hapo ndani mimi nitamaliza kila kitu.
5. Nina utaalamu mkubwa tu wa kutumia computer (software za audio kama adobe audition, virtual DJ, BPM studio, Tune Tracker, Google radio automation system, Wav Lab, Na sasa najifunza cubase) Nafanya kazi pia kama producer wa music so tunaweza kudesign music studio kwenye station yako ikaongeza kipato. Kiukweli kuhusu computer hakuna shida wakati mwingine hata kuzitreat huwa najaribu.
6. Nina mult ideas za kuendesha vipindi vyenye kuleta kipato cha kutosha katika redio. Naweza kudesign programmes ambazo ni total business programs ambazo lazima tu ziingize income ya kutosha.
7. Nina andaa schedule mpya za vipindi bila shida. Nadhani haya ni baadhi ya mambo ambayo nafanya mimi Radio Producer.
8. Professional in communication skills, ikiwa nimesoma communications kwa level nzuri tu, naweza kuendesha follow up office kwa radio yako, nafanya counselling pia, nimejifunza audience relation pia.
Nimeamua kuomba kazi kwa mtu mwenye nia na malengo ya kubadilisha radio yake kuwa yenye kuleta faida mi nipo tayari. Napendekeza pia kama nafasi inakuwepo ukinipa PROGRAM MANAGER, mwenye utashuhudia kazi ilivyo kaa vizuri. Nafanya radio yoyote iwe ya dini au isiyo ya dini. Condtion zangu za maslahi si za gharama sana, tukiwasiliana nina imani hazitakusumbua, naweza kufanyakazi mazingira yoyote cha msingi ni ushirikiano wako. Kwa mtu aliye serious naweza kutoa demonstration period ambayo nitakuja kufanya kazi kwa kudemonstrate tu kanza kabla ya mkataba wa ajira, demonstration period ni wiki 2 ila utanigharimia gharama za chakula, malazi, usafiri wakati nikifanya hizo kazi na posho yoyote utakayopenda wewe. Kwa aliye tayari naomba tuwasiliane kwa PM au email hii: radioproducer@rediff.com
Asante.