Mayu JF-Expert Member Joined May 11, 2010 Posts 8,586 Reaction score 14,194 Aug 10, 2019 #1 Wakuu kila jumamosi kuanzia saa 5 asbh hadi saa 7 mchana wanacheza olds za kufa mtu kwa sie vijana wa zamani Kipindi kinanikumbusha mbali sana
Wakuu kila jumamosi kuanzia saa 5 asbh hadi saa 7 mchana wanacheza olds za kufa mtu kwa sie vijana wa zamani Kipindi kinanikumbusha mbali sana
K kichwa mbovu JF-Expert Member Joined Aug 3, 2018 Posts 706 Reaction score 504 Aug 10, 2019 #2 Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa
Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,261 Reaction score 72,430 Aug 13, 2019 #3 KIPINDI KIMETULIA SANA
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,912 Aug 13, 2019 #4 Kipindi hicho kweli ilikuwa mtaa wa magoma DJ JD na Eddie kichwa mbovu said: Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa Click to expand...
Kipindi hicho kweli ilikuwa mtaa wa magoma DJ JD na Eddie kichwa mbovu said: Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa Click to expand...
Mayu JF-Expert Member Joined May 11, 2010 Posts 8,586 Reaction score 14,194 Aug 13, 2019 Thread starter #5 kichwa mbovu said: Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa Click to expand... Kipindi cha kama hiki kipo lini na muda gani kwa RFA mkuu?
kichwa mbovu said: Kipindi yuko DJ JD ilikuwa ni mtaa wa magoma haswa,now napata shida sana kuskiliza Old songs, Hata cha RFA kimepoa sanaaa Click to expand... Kipindi cha kama hiki kipo lini na muda gani kwa RFA mkuu?
Nukta5 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,192 Reaction score 1,315 Aug 13, 2019 #6 Kilikuaga jmos kama sikosei