Ukiwa kijijini mbali kabisa na mji ambako hamna shule na wewe ndio angalau uliishia form II ukapata maneno mawili matatu ya Kiingereza, basi kila utakachokisema kwa Kiingereza chako cha hovyo, kwao itakuwa sawa na bora
jamessungo : I will went to town tumoro yestadei
Wanakijiji: Anaongea 'kingeleza' safi huyu jamaa msomi sana
Nachotaka ukwambia hapa ni kwamba, unayo kila sababu ya kuona weledi kwenye uchambuzi wa Radio Imaan na hiyo ni kutokana na uwezo wako wa ulinganishaji. Lkn siku ukielimika ukapata ufahamu, hakika utatapika mara utakapofungulia Radio Imaan