tecno tecno
Member
- Dec 26, 2013
- 29
- 2
Ni kweli ilikuwa kero sana
Ni katika kipindi chao cha magazetini asubuhi. Kuliwahi wekwa uzi humu kwamba kipindi chao cha kupitia magazeti asubuhi kimejaa matangazo ya biashara na habari za magazeti zinasomwa kiduchu tu. Kipindi kilikua na matangazo kumi kabla,matangazo kumi katikati na matangazo kumi mwishoni!.Watu wengi wiiponda kwa mpangilio huo.
Kwa karibu wiki sasa nimekua nasikiliza kipindi hicho na kwa sasa wanaweka matangazo mawili mwanzo,mawili kati na mawili mwishoni!. Tena leo ndio ilikua poa zaidi,waliweka tangazo moja tu mwanzoni,mawili katikati na kama matatu mwishoni. Taasisi nyingine zijifunze kwa hawa katika kushughurikia malalamiko ya wananchi. Kudos.
Ni katika kipindi chao cha magazetini asubuhi. Kuliwahi wekwa uzi humu kwamba kipindi chao cha kupitia magazeti asubuhi kimejaa matangazo ya biashara na habari za magazeti zinasomwa kiduchu tu. Kipindi kilikua na matangazo kumi kabla,matangazo kumi katikati na matangazo kumi mwishoni!.Watu wengi wiiponda kwa mpangilio huo.
Kwa karibu wiki sasa nimekua nasikiliza kipindi hicho na kwa sasa wanaweka matangazo mawili mwanzo,mawili kati na mawili mwishoni!. Tena leo ndio ilikua poa zaidi,waliweka tangazo moja tu mwanzoni,mawili katikati na kama matatu mwishoni. Taasisi nyingine zijifunze kwa hawa katika kushughurikia malalamiko ya wananchi. Kudos.
Ni katika kipindi chao cha magazetini asubuhi. Kuliwahi wekwa uzi humu kwamba kipindi chao cha kupitia magazeti asubuhi kimejaa matangazo ya biashara na habari za magazeti zinasomwa kiduchu tu. Kipindi kilikua na matangazo kumi kabla,matangazo kumi katikati na matangazo kumi mwishoni!.Watu wengi wiiponda kwa mpangilio huo.
Kwa karibu wiki sasa nimekua nasikiliza kipindi hicho na kwa sasa wanaweka matangazo mawili mwanzo,mawili kati na mawili mwishoni!. Tena leo ndio ilikua poa zaidi,waliweka tangazo moja tu mwanzoni,mawili katikati na kama matatu mwishoni. Taasisi nyingine zijifunze kwa hawa katika kushughurikia malalamiko ya wananchi. Kudos.
hao mambo yao ya kizeezee kama redio one,hawatak kubadilika.ndio maana hapa town humkuti mtu akiwasikiliza,hata mikoani sikuiz haisikilizwi sana maana cloudz wameanza kufika mikoa mingi.so wasikilizaji wao hasa ni vijijini na sehem ambazo cloudz haifiki
Pole sana ndugu ukisikia clauds wanasikika kigoma au tbr ujue ni maeneo ya mjin tu.Fanya utafit utaona rfa karib tanzania nzima
Nikimsikia Tom Chilala na station nabadilisha! Jamaa lazima aanze na gazeti la uhuru
yaweza kuwa ni mchumba wangu Lilian Ntono manake anaongea vizuri huyu................Katiririka bila kigugumizi, bila sauti mkwaruzo mpaka nikahisi wametumia software badala ya mtu maana sikusikia hata utambulisho wake, amenikumbusha mtangazaji mmoja wa RTD alikuwa anaitwa Christine Chakunegela
yaweza kuwa ni mchumba wangu Lilian Ntono manake anaongea vizuri huyu................