The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
Great Thinkers.
RFA ilikuwa ni kisima cha kuibua vipaji mbalimbali hapa nchini, watngazajii walikuwa weledi wabunifu na wenye kuielewa taaluma yao ndo maana wakapata nafasi gadi ya kutoka hadi nje ya tanzania, ukiachilia mbali kugombaniwa na radio zingine kama tbc na radio one
Tukisema eti radio zilikuwa chahache ndo maana wakasikika natakaa kwa sababau pamoja na kuongezeka kwa radios hapa tz watangazaji wenye mvuto kama wale hawapo tena wachache wamebaki azam an radio one ambao wengine ni mazalia ya RFA.
Hizi radio zetu za mchongo kutoa mtangazaji aweze hata kwenda BBc au dw ni ngumu sana maana hawana maarifa na weledi kama walivyokuwa RFA, je RFA iliwapata wapi hawa watu maan ahata usomaji wao wa magazeti ulikuwa murua kweli kweli tofauti na hizi radio za kisasa.
RFA ilikuwa ni kisima cha kuibua vipaji mbalimbali hapa nchini, watngazajii walikuwa weledi wabunifu na wenye kuielewa taaluma yao ndo maana wakapata nafasi gadi ya kutoka hadi nje ya tanzania, ukiachilia mbali kugombaniwa na radio zingine kama tbc na radio one
Tukisema eti radio zilikuwa chahache ndo maana wakasikika natakaa kwa sababau pamoja na kuongezeka kwa radios hapa tz watangazaji wenye mvuto kama wale hawapo tena wachache wamebaki azam an radio one ambao wengine ni mazalia ya RFA.
Hizi radio zetu za mchongo kutoa mtangazaji aweze hata kwenda BBc au dw ni ngumu sana maana hawana maarifa na weledi kama walivyokuwa RFA, je RFA iliwapata wapi hawa watu maan ahata usomaji wao wa magazeti ulikuwa murua kweli kweli tofauti na hizi radio za kisasa.