hii redio nilishaacha kutumia zamani sana aiseee
Mmiliki wake ni intarahamwe lazma iwe mbovu.
intarehamwe ndio nini wakuu
Khaa!! Nyie kazi kulialia tu. Tumewachoka sasa. Anzisheni zenu tuone kama itasavaivu
Inawezekana tafsiri yangu isiwe sahihi lakini utachanganya na zako.
Intarehamwe ni kundi la watu ambao wapo tayari hata kufanya mauaji ya kimbari ili kutetea maslahi yao, nimemaliza.
Mtitu.
Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.
Nimeshangaa asubuhi wanaanza kusoma Habari leo na Uhuru wakati sio kawaida yao,ccm wapuuzi sana.Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.
Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.