RADIO FREE acheni u CCM,ukada....

RADIO FREE acheni u CCM,ukada....

CCM inatapata kila angle.Jana yenyewe baada ya UKAWA kuondoka ilionekana waliobaki hata ambao wasio CCM walionekana kununuliwa.Mpaka viongozi wa dini.
 
Sikilizeni Radio zingine kwa upande wa magazeti sikiliza Radio Maria.Wako poa hawana haraka wako balanced.
 
intarehamwe ndio nini wakuu

Inawezekana tafsiri yangu isiwe sahihi lakini utachanganya na zako.
Intarehamwe ni kundi la watu ambao wapo tayari hata kufanya mauaji ya kimbari ili kutetea maslahi yao, nimemaliza.
Mtitu.
 
Mi huwa sioni logic mfano kusoma magazeti kama Uhuru, Mzalendo, Habari leo, na Jambo leo katika kipindi kimoja!
 
Walivyo mtosa ubunge wakati hule CDM walikuwa live wakati wa mikutano na harambee lakini sasa toka walipompa chakula tena ukada umerudi, huyu bosi ni Ms....nzi kabisa
 
Duh........mnalalama kuliko mke wa Kanjibai...........
 
Inawezekana tafsiri yangu isiwe sahihi lakini utachanganya na zako.
Intarehamwe ni kundi la watu ambao wapo tayari hata kufanya mauaji ya kimbari ili kutetea maslahi yao, nimemaliza.
Mtitu.

Changanya hapo hii

"The Interahamwe (Kinyarwanda, meaning "those who
stand/work/fight/ attack together"[1]) is a Hutu paramilitary organization".
 
Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.

Unataka akose kualikwa kwenye makongamano.. ndo zao hao kujipendekeza ili kupata vibahasha huko CCM.
 
Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.
Nimeshangaa asubuhi wanaanza kusoma Habari leo na Uhuru wakati sio kawaida yao,ccm wapuuzi sana.
 
Katika kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi kilichoendeshwa na Liliani Mtono nimesikitishwa na usomaji unaoegemea zaidi katika Magazeti yenye mwelekeo wa kichama (Habari Leo na Uhuru )
Dada huyu amesoma habari zinazowahusu UKAWA kwa kirefu katika magazeti haya mawili na kuyaacha magazeti yanayoandika habari kwa kubalance kama Majira Mtanzania jambo amabalo ni upotoshaji mkubwa juu ya suala la jana n.k hata katika maoni ya Mhariri amesoma katika gazeti la uhuru tu.
Jambo hili si haki kwa chombo huru vinginevyo wajitangaze kuwa redio ya CCM kama radio uhuru.

well said mkuu
 
Back
Top Bottom