Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Si ndio huyu huyu Rais aliekua anasifiwa dunia nzima au ???Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kuna walevi wako vizuri mzee! Uhuru ni mtu sana yule! Unamkumbuka Rais wetu wa 1995 - 2005?Mbona rais wao mlevi mbwa na mla weed mbona watu wanapotezea tu
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
.Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Mkuu Bishweko, sisi humu jf tunasheria zetu, hili ulilouliza kwa mujibu wa sheria zetu ni kosa la name calling.Je,kweli wewe Pascal Mayalla ndo unajihita Kigogo2014?
Ngoja niendelee kufatilia lakini...
TuandamaneKuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Hapo dhihaka iko wapi dogo. Wanakitumia kibwagizo hicho maalum kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa wanasiasa wa Kenya ili wajitambue walivyo.Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kumbe! Anachoma majani...inawezekana maana yale macho si bure...asante kwa taarifa mkuu....ngoja na sisi tuanze kurusha madongoWakenya wanaendesha kampeni yao twitter ya kumkejeli rais, wabongo hawanaga mzuka nao hata kama wa kwao anachoma majani.
Ila wakishapigwa njaa huwa wanarudi vichwa chini wasaidiwe mahindi....mkenya akimiliki smartphone anajiona ni bonge la mjanja na kuongea kile kiingereza chenye lafudhi mbovu...
Hivi Kuna lugha ya kiganda ?Bukkedde(kumekucha) inatangaza kwa lugha ya Kiganda. Wanalo gazeti lao na Television pia. Vipi ndugu yangu Kiganda kinapanda?
Wanatumia lugha ya kabila la Baganda, kabila linalojinasibu ndio wenyeji wa asili wa UgandaHivi Kuna lugha ya kiganda ?
Ndiyo mkuu..inatumiwa na kabila la WagandaHivi Kuna lugha ya kiganda ?
Kweli samahani Pascal wa Jf lakini ilo ni swali tu wala msemaji ajasema kua Pascal Mayalla wa Jf ndiye huyoMkuu Bishweko, sisi humu jf tunasheria zetu, hili ulilouliza kwa mujibu wa sheria zetu ni kosa la name calling.
1. Huruhusiwi kumfananisha mwana jf yoyote na mtu yoyote, hata kama in reality unamjua Pasco wa jf ni nani in reality, huruhusiwi kuuliza au kuhisi Pasco wa jf ndie Pascal Mayalla!.
2. Ukitokea ukamjua Pasco wa jf ndie Pascal Mayalla, ukamtaja humu kuwa Pasco wa jf ndie Pascal Mayalla, unakula ban!.
Hivyo suppose hata kama mimi ndie ningekuwa kweli ndie yule insane Kigogo, jee ningekujibu?.
P
matunda sumu?"Mti wenye matunda........"
Hahah nasubiri majibu yake tu mkuu.ohh mbv zangu mm
Sheria inasemaje kuhusu hilo kama upo vizuri kiuchumi tafta mwanasheria akutafsirie sheria uingie mahakamani ushitaki radio hii itakuongezea kufahamika na hautakosa uteuzi.Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini