Radi ya leo saa nane usiku

Mungu wangu taifa linaknsa vijana mashujaa na hii yote sababu yakula chips yai, na maeneji mwishowe tayar mnapatwa na ma BP (bila shaka mtoa mada yupo pwani asa dar) ila ukienda mikoa ya kanda ya ziwa,mikoa ya nyanda za juu kusin asee radi ni jambo la kawaida tena watu hushuhudia madhara ya radi kwa macho yao wakiwa shulen,mashamban au uko mapolin kwenye kuchunga mifugo
 
Aisee waja tumlejelee Mungu radi iliopiga leo saa nane usiku asee ilikuwa na nguvu sana hadi nikahisi labda siku ya kiama 😂

Wewe mdau hii radi ulikukuta unafanya nini??
Radi wapi huko 😀😀
 
Oyaah ile radi ilitoroka kuzimu sio powa
 
Watu wa dar bhana,Kila Kona Leo radi,radi 🙌🚮,

Sasa huku kwetu zinapiga mchana na jua linawaka,mbona zingejaa nyuzi za radi TU,,

Acheni kudeka bhana
Aya bonge la radi paaah mara buku ya radi za kanda ya ziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…