Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,425

Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa.

Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni.

Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake ila hatoacha kuzungumza. Pia, amemtuhumu Mzee Warioba kuwa ndiye aliyefichua anakopatikana Polepole baada ya kupewa milioni 300
 
Hilo la Mzee Warioba sidhani kama lina Ukweli
Mzee warioba anajulia wapi location za alipo Polepole? Milioni 300 azitakeje kwa njia hiyo ilihali kama angekuwa na shida na hizo hela serikali isingeshindwa kumpatia kwa nafasi alizoshika nchini na kwa Heshima aliyo nayo, si juzi tu alikuwa na Rais ikulu?

Mambo mengine ni Uzushi tu na kutafuta contents za kuhamsha hisia za watu
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=WvFRcG-VgTE

Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa.

Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni.

Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake ila hatoacha kuzungumza. Pia, amemtuhumu Mzee Warioba kuwa ndiye aliyefichua anakopatikana Polepole baada ya kupewa milioni 300.

Pole Pole for Presidence..
🙏
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=WvFRcG-VgTE

Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa.

Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni.

Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake ila hatoacha kuzungumza. Pia, amemtuhumu Mzee Warioba kuwa ndiye aliyefichua anakopatikana Polepole baada ya kupewa milioni 300.

Jamani mlidanganywa na Mange mkaliwa vichwa , Habili aliwatapeli amesha hack serikali mkaingia mkenge bado huyu malaya Japan bado mnamuamini?
 
Hilo la Mzee Warioba sidhani kama lina Ukweli
Mzee warioba anajulia wapi location za alipo Polepole? Milioni 300 azitakeje kwa njia hiyo ilihali kama angekuwa na shida na hizo hela serikali isingeshindwa kumpatia kwa nafasi alizoshika nchini na kwa Heshima aliyo nayo, si juzi tu alikuwa na Rais ikulu?

Mambo mengine ni Uzushi tu na kutafuta contents za kuhamsha hisia za watu
Nadhani alimanisha Mzee Butiku. Warioba haiwezekani.
 

Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa.

Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni.

Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake ila hatoacha kuzungumza. Pia, amemtuhumu Mzee Warioba kuwa ndiye aliyefichua anakopatikana Polepole baada ya kupewa milioni 300
Hapo ni mzee butiku ...warioba angekubali kuwa chawa wa samia tu hata leo angetaja dau hata la bilioni 2 tsh angepewa bila ya habari za kumfichua polepole. na Rostam azizi angempa na bonasi ya kama milioni 800 bado baressa hapo.
 
Yule Mdogo wake Kanali wa Jeshi la NATO la Insta anasemaje???
 
Hahaa recho dangwa ndio amekuwa kiongozi wenu wacha mtandikwe tu bakora mnastahili kama huyo ndio mkuu wenu
 
Back
Top Bottom