Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

Jamani mlidanganywa na Mange mkaliwa vichwa , Habili aliwatapeli amesha hack serikali mkaingia mkenge bado huyu malaya Japan bado mnamuamini?

NAam, hili taifa sisi wananchi wenyewe hazijatimia
 
Tunaishi kama Korea ya kaskazini!
Muda upo, mara umetekwa, hujulikani ulipo, maisha Tanzania yamekuwa mepesi sana!
Kisa? Watu kushindwa kujibu hoja na kutumia vyombo vya dola kunyanyasa, kuteka, kubaka, na hata kuuwa raia!
Tanzania gani hii ya sasa?!
Yote hayo ni wale wahusika wachache waendelee kuiba rasilimali na maliasili ya taifa!
Uroho wa aina gani huo?!
 
Nimeona chanel ya WhatsApp account ya Polepole imekua deleted..November 6.. sasa hivi haipo WhatsApp
 
Back
Top Bottom