RA anao utajiri wa zaidi ya 555bil kwa mwaka.Yeye amekiri kuwa ni kweli LEO

Angekuwaa na utajiri wa pesa halali asingeasisi mpango wa Kagoda kuwaibia walalahoi wa tz wasiokua na uwezo wa mlo mmoja kwa siku pesa zao.
Hivi jamani kuna mtu anakumbuka Mabutu aliacha bei gani alipokufa? Na zilisaidiaje familia yake baada ya kifo chake?
.
 
Tususie VODACOM,TICTS,SEACOM,PAN AFRICAN,CASPIAN,ULTIMATE SECURITY,SHIVACOM,ESTIM CONS,TUWATIMUE WAZUNGU WOTE WA MIGODI YA DHAHABU walau atahisi machungu

Everyone including you is free to contribute ideas BUT this one how PRACTICALLY do you Make it work???!
 
Back
Top Bottom