Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Angekuwaa na utajiri wa pesa halali asingeasisi mpango wa Kagoda kuwaibia walalahoi wa tz wasiokua na uwezo wa mlo mmoja kwa siku pesa zao.
Hivi jamani kuna mtu anakumbuka Mabutu aliacha bei gani alipokufa? Na zilisaidiaje familia yake baada ya kifo chake?
.
Hivi jamani kuna mtu anakumbuka Mabutu aliacha bei gani alipokufa? Na zilisaidiaje familia yake baada ya kifo chake?
.