R.KELLY IS A MUSIC god

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,759
Reaction score
71,775
This is beyond extra ordinary!
Huyu jamaa ameniogopesha aisee.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee.
Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa washazimia.
Mungu kawapa watu weusi vipaji vikubwa sana has a kwenye kuimba, hili hata shetani analijua.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kahhh aisehhhh R. KELLY nimeshindwa kuamini huo uwezo wake salute sanaaaaa, dah nimecheki dakika wapi nimechoka sio kwa uwezo huo, amefikisha dakika kumi nimeshindwa kuelewa malcom
 
Nimejikuta hisia zimenikabili mpaka nikitamani kutoa chozi nikiona audience wanavyo dondosha machozi, nikajikuta nimenogewa kuendelea kuangalia tuuuu, malcom kama una muendelezo wa hii tafadhali hebu nitumie asehhh
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kahhh aisehhhh R. KELLY nimeshindwa kuamini huo uwezo wake salute sanaaaaa, dah nimecheki dakika wapi nimechoka sio kwa uwezo huo, amefikisha dakika kumi nimeshindwa kuelewa malcom

This is just unexplainable,
Sijui tumuweke kwenye kundi gani huyu jamaa.
 
Nataka kujua comments za majaji maana kama Pharrell Williams alikuwa anashangaa tuu
 
This is just unexplainable,
Sijui tumuweke kwenye kundi gani huyu jamaa.
Aisehhh is agenius of all the time, nina nyimbo zake zote za zamani katika mfumo wa dj collection mix namkubali sana, ila hii clip ndiyo kanichanganya kabisa sijaelewa kabisa huu uwezo hakuna mwana mziki anayeweza alikuaga Whitney Houston na mariah carey kwa mbali
 

Whitney Houston YES!
Mariah Carey NO!

Ila kama hawa wanaweza kidogo;
Jenifer Hudson YES!
Fantasia YES!
Beyonce YES!
 
Nimefurahi kuangalia video hiyo, sababu ni meimbo huo ulinijia kichwani niliposoma kichwa cha uzi wako.

Nina album zake zoteeeeeeeeeeee
Wish nizipate izo album kwakweli mana nna collection moja ina nyimbo zake zote ila quality sipendezewi nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…