Majina ndio Uislam au Ukiristo? Kiuhalisia jina lenye watu wengi zaidi duniani ni Mohamed, wapo katika mabara yote hasa Asia na Afrika
Zanzibar hii hakuna nyumba iso na hilo jina ila kwa Wenzetu wapo wanoitwa hivyoo na ni Makafiri tu
Freedom of religion.Whites will come to regret this, kuruhusu Islam kutawala kwenye mabara yao, itawageuka vibaya mno miaka 50 ijayo.
Japo sipendi sana kuongea issues za imani.
Kwanini unasema "so sad" mkuu?so sad!
Ninaelewa sana, ninafahamu kuwa Uislam unaenea kwa kasi kubwa sana Ulaya na Makanisa yanageuzwa kuwa Masjid...lakini namaanisha Majina si jambo lote Sheikh
For me, this change proves that the Bible is true. It predicted that in the last days many people would leave the faith, love would grow cold, and other beliefs would rise. What’s happening now in England shows that Jesus’ prophecy is being fulfilled exactly as it was written. Yamkini ndo mwisho wa dunia unakaribia!islamization has already crossed the rubicon, so sad!
most popular names (grafu pichani) for boys in england
View attachment 3477522
Ukiangalia majina mengi hapo ni ya kikristo.
Walokole na makafiri mnakazi sanaFor me, this change proves that the Bible is true. It predicted that in the last days many people would leave the faith, love would grow cold, and other beliefs would rise. What’s happening now in England shows that Jesus’ prophecy is being fulfilled exactly as it was written. Yamkini ndo mwisho wa dunia unakaribia!
Hiyo Englad ikiwa Islamic countryislamization has already crossed the rubicon, so sad!
most popular names (grafu pichani) for boys in england
View attachment 3477522