R.I.P. to Christian England!

R.I.P. to Christian England!

Unazungumzia hayo majina ambayo hayaendi misikitini Wala kujua umuhimu wa ibada? Ni kama ilivyo kwa majina ya kikristo, wapo wengi lkn makanisa yanageuzwa vilabu vya pombe. Jina sio Imani.
 
Uislam kuenea ulaya haina maana kuwa unasitawi bali unakufa kabisa, Wazungu wana utamaduni hawawezi kufuata utamaduni wa kiarabu. Ni giza nene ulaya linaingia ili kuandaa mazingira ya mpinga Kristo kutawala dunia
 
Mzungu awe muislam? Hicho ni kituko cha karne! Washindwe kuwa wakristo na wapagani eti wawe waislam! hapo ni kuuchakachua uislam na kuufutilia mbali duniani. Wameanza kuingiza tamaduni zao kwenye nchi za kiislam kupitia nyanja mbalimbali, wameanza kufanikiwa kuufubaza uislam huko huko kwenye shina lake
 
Good for them, hii mentality ya superiority ya Ukristo ipungue.
Wamekimbia kwao kwa matatizo ya uislam na culture za Stone Age then wanataka kuleta same shit kwa wenyeji, akili za kobazi za kutawala dunia kwa kuzaa watoto wengi na Islamization will backfire big time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom