Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Kwa wale waliomfaham mpiganaji, mwanaharakati, mwanayanga na mfanyakazi wa chuo kikuu udsm ndugu costantine maligo, aliaga dunia siku ya jmosi kutokana na shinikizo la damu. Tulimuaga rasmi pale nkrumah hall leo na msiba kupelekwa kwao musoma. Chuo kikuu tumempoteza mpiganaji na mtetezi, mwakilishi wa wafanyakazi na mwenyekiti wa THTU tawi la UDSM. Bwana alitoa na Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe