R.I.P Malema Christopher Mpyila

Wapumzike kwa amani mbele yao nyuma yetu
 
Dah poleni sana aiseeee! Mimi siku nikifa Ooghh Mungu aepushie mbali, ila nikifa wengi watakuja kutoa taarifa sahihi! Wanajua kila kitu! Poleni sana Kuna haja ya kufahamiana na watu at least wawili au watatu
 
Poleni sana wafiwa,huu ni msiba mkubwa sana kwa upande wa wazazi na ndugu na jamaa,inabidi wawe na moyo wa kipekee kukikubali kilichotokea,Mwenyezi Mungu awape moyo huo.RIP Marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…